Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui mambo uliza uambiwe kijana mdogo usidanganyike na wachambuzi uchwara. Enzi za mwenyekiti wenu Lyod Nchunga mashabiki walikusanyika ili kumpindua mwenyekiti wenu kutokana na matokeo Mabaya. Lyod Nchunga alitishiwa sana na mwisho wa siku alijiuzulu uenyekiti. Simba ni wavumilivu kuliko nyinyi, mfano ni huo hapo wa mwenyekiti wenu kujiuzulu, kama ulikuwa hujui Google hilo jina uone habari utakazoletewa.Lkn hatukuwahi watukana viongozi
Simba ni wavumilivu mkuu,hata pamoja na matokeo mabovu hawajawahi kuacha kwenda uwanjani, yanga miaka 5 iliyopita watu walikuwa hawaendi uwanjani, timu ipate tu matokeo mabovu kama utawaona uwanjaniHujui mambo uliza uambiwe kijana mdogo usidanganyike na wachambuzi uchwara. Enzi za mwenyekiti wenu Lyod Nchunga mashabiki walikusanyika ili kumpindua mwenyekiti wenu kutokana na matokeo Mabaya. Lyod Nchunga alitishiwa sana na mwisho wa siku alijiuzulu uenyekiti. Simba ni wavumilivu kuliko nyinyi, mfano ni huo hapo wa mwenyekiti wenu kujiuzulu, kama ulikuwa hujui Google hilo jina uone habari utakazoletewa.
Huyo ni Nazareth Upete, mchambuzi alieibukia kipindi cha wedi kapuHuyo pichani ndo wewe?
Point kubwa ya kufungia uzi. Umetisha Mkuu!Sema usemayo lakini Yañga ni wavumilivu wa mapito ..hebu Kumbuka 2012 kwenye Ile 5 ,au 2018/19 kwenye zile 4 !
Walilia yakapita sisi hizi 5 imekuwa kama Ndio mwisho wa Dunia!
Sijajua bado iwapo ujima ni sifa nzuri ya kujivunia au ni sifa mbaya isiyopaswa mtu kujivuniaMchambuzi: Yanga inaishi Kijima kwenye nyakati za Kibepari
ndiye yule aliyekuwa anatangaza mwee mwee mweee! ?Huyo ni Nazareth Upete, mchambuzi alieibukia kipindi cha wedi kapu
Pole na sononaHujui mambo uliza uambiwe kijana mdogo usidanganyike na wachambuzi uchwara. Enzi za mwenyekiti wenu Lyod Nchunga mashabiki walikusanyika ili kumpindua mwenyekiti wenu kutokana na matokeo Mabaya. Lyod Nchunga alitishiwa sana na mwisho wa siku alijiuzulu uenyekiti. Simba ni wavumilivu kuliko nyinyi, mfano ni huo hapo wa mwenyekiti wenu kujiuzulu, kama ulikuwa hujui Google hilo jina uone habari utakazoletewa.
Mswahili hana jambo dogoNi kweli .. na wamepata na mfadhili na Mwenyekiti Mswahili Ndio imezidisha ... wao Kila kitu ni tukio! Umeona picha za South Afrika ... Unaona kabisa mtu analazimisha apate picha!Ni ushamba lakini Ndio hivyo .. politics is about Who Get What, When and How!
Kuna watu niliwaambia miaka 2 iliyopita kuwa hii Yañga kama Simba hawata Reinvest ' tutapitwa ...na ziona dalili hizi! Kuna Wanasimba wanaweza kupinga hili lakini ni ukweli Mchungu!
hahah hapo kwenye sigara sasaAnaendelea......
"Yanga inayotembeza bakuli uwanjani kupata Bukubuku bado ilikuwa inapambana na kushika nafasi 2 za juu Ni spirit yao na maisha yao, Uliona walivyolihandle suala la Fei!? Ni kipenzi chao na alikuwa ndiye tegemeo la timu ila kilichofuata!? Wakaungana fasta kumgeuka!
Wana umoja kwenye nyakati nyingi mno! Kwao kumpoteza mchezaji wao kipenzi ni maisha... Watampiga nongwa weee kisha wataendelea na maisha yao! Si ajabu keshokutwa Fei akarudi pale na wakaishi naye kama hakuna lililowahi kutokea.
Jana wameita siku ya Supu sivyo!? Wamesajili wanachama na mashabiki wengine kuhuisha sajili zao! Wangeweza kuuza hao ng'ombe wa Supu ila wameamua kula na mashabiki wao.
Ni timu inayoishi kijima sana katikati ya nyakati za kibepari! Suala mnaloona ni dogo wao hulifanya kuwa kubwa na la tofauti.
Wakati fulani ni ngumu kuwaelewa ila amini umoja hujengwa na vitu viwili tu duniani! STAREHE na MATESO! Suala la bond hiyo kudumu ni kila mmoja anavyoupalilia upendo huo. Timu yao ina vinasaba vya uswahili/uafrika... Sigara 1 wanaweza kuvuta watu 6 alaf fresh tu!"
Yanga hata uwanjani mashabiki wake wanauzuria kwa wingi zaid ya simba hata kipindi kile Yanga iko hoi bin taaban swala sio njaa ni mashabiki wa Yanga wanamuamko mkubwa na timu yaoIla mi naona slogan yao ya " timu ya wananchi " kama inafanya kazi, maana matukio wanayofanya niya kienyeji na siyo mara moja,kuita watu wanywe supu ni kama visherehe vya kijijini ndani ndani huko.
Ukija upande wa Simba ni kama timu ya wenye nazo hamna njaa
Aaah mimi nakupa facts tu. Mlimkimbiza mwenyekiti wenu Nchunga na mapanga mpaka akajiuzulu halafu mnadanganyana eti uto ni wavumilivu.Pole na sonona
Ukweli mtupu.hahah hapo kwenye sigara sasa
Wasitupangie, sisi na mambo yetu kivyetuvyetu.Yanga hata uwanjani mashabiki wake wanauzuria kwa wingi zaid ya simba hata kipindi kile Yanga iko hoi bin taaban swala sio njaa ni mashabiki wa Yanga wanamuamko mkubwa na timu yao
Yaani kwenda supu tunaita uswahili mbona hiki ni kituko