Mchambuzi: Yanga inaishi Kijima kwenye nyakati za Kibepari

Mchambuzi: Yanga inaishi Kijima kwenye nyakati za Kibepari

ndiye yule aliyekuwa anatangaza mwee mwee mweee! ?
Baada ya kipigo Cha 5G nilisikia ulilazwa mkuu .....but now naona umeludi


Pole sana mkuu.....huo ndo uanaume[emoji1]
 
Wanafanyeje hawa Bayern
Mwisho wa msimu au mwanzo huwa na sherehe ambapo wachezaji na mashabiki huungana katika mitaa ya club hiyo lucerebrate huku pombe kikiwa ndio chakula kikuu. Pombe hutolewa na mdhamini fulani wa hiyo team
 
Mwisho wa msimu au mwanzo huwa na sherehe ambapo wachezaji na mashabiki huungana katika mitaa ya club hiyo lucerebrate huku pombe kikiwa ndio chakula kikuu. Pombe hutolewa na mdhamini fulani wa hiyo team
Ahaa kumbe....
 
Na Ile tuzo ya Jana ya Simba ingekuwa ni Yañga ...looh,Mwenyekiti angeenda kupokelewa Terminal One!
Hakuna tunzo ndogo, ila imepatikana wakati mbaya, kama Simba angemfunga mtani basi na hiyo tunzo wanasimba wangeitandikia khanga kutoka airport mpaka Msimbazi, ila mshahara umeingia wakati wa mdeni anataka chake.
 
Anaendelea......

"Yanga inayotembeza bakuli uwanjani kupata Bukubuku bado ilikuwa inapambana na kushika nafasi 2 za juu Ni spirit yao na maisha yao, Uliona walivyolihandle suala la Fei!? Ni kipenzi chao na alikuwa ndiye tegemeo la timu ila kilichofuata!? Wakaungana fasta kumgeuka!

Wana umoja kwenye nyakati nyingi mno! Kwao kumpoteza mchezaji wao kipenzi ni maisha... Watampiga nongwa weee kisha wataendelea na maisha yao! Si ajabu keshokutwa Fei akarudi pale na wakaishi naye kama hakuna lililowahi kutokea.

Jana wameita siku ya Supu sivyo!? Wamesajili wanachama na mashabiki wengine kuhuisha sajili zao! Wangeweza kuuza hao ng'ombe wa Supu ila wameamua kula na mashabiki wao.

Ni timu inayoishi kijima sana katikati ya nyakati za kibepari! Suala mnaloona ni dogo wao hulifanya kuwa kubwa na la tofauti.

Wakati fulani ni ngumu kuwaelewa ila amini umoja hujengwa na vitu viwili tu duniani! STAREHE na MATESO! Suala la bond hiyo kudumu ni kila mmoja anavyoupalilia upendo huo. Timu yao ina vinasaba vya uswahili/uafrika... Sigara 1 wanaweza kuvuta watu 6 alaf fresh tu!"
kiukwel mm ni shabiki wa simba ila yanga nakiri kusema wametuzid kila kitu hasa kinachonivutia ni mashabik wao ni wavumilivu sana hata wakifungwa wataendelea kuwa na moral tofaut na sisi simba at tunataka raha tu hakuna mpira wa hvyo

ni vile tu mm dam dam simba ila club ya yanga na mashabik wake wananikosha sana hilo halina ubish inatupasa tujifunze kutoka kwao
 
Baada ya kipigo Cha 5G nilisikia ulilazwa mkuu .....but now naona umeludi


Pole sana mkuu.....huo ndo uanaume[emoji1]
Hata mimi huyu ndugu nilitamani nipate maoni yake baada ya kile kipigo cha 5G walichotoa Wananchi. Huwa ni jamaa fulani inajibu hoja vizuri. In short hakubali kushindwa!
 
Hakuna tunzo ndogo, ila imepatikana wakati mbaya, kama Simba angemfunga mtani basi na hiyo tunzo wanasimba wangeitandikia khanga kutoka airport mpaka Msimbazi, ila mshahara umeingia wakati wa mdeni anataka chake.
Yaaah fact kabisa mkuu
 
kiukwel mm ni shabiki wa simba ila yanga nakiri kusema wametuzid kila kitu hasa kinachonivutia ni mashabik wao ni wavumilivu sana hata wakifungwa wataendelea kuwa na moral tofaut na sisi simba at tunataka raha tu hakuna mpira wa hvyo

ni vile tu mm dam dam simba ila club ya yanga na mashabik wake wananikosha sana hilo halina ubish inatupasa tujifunze kutoka kwao
Kabisa mkuu.....mpira Kuna muda unadrop sio Kila siku wewe
 
Hata mimi huyu ndugu nilitamani nipate maoni yake baada ya kile kipigo cha 5G walichotoa Wananchi. Huwa ni jamaa fulani inajibu hoja vizuri. In short hakubali kushindwa!
Ndio hivyo mkuu.....jamaa alizidiwa ghafla pale Banda umiza[emoji23]
 
Ni kweli .. na wamepata na mfadhili na Mwenyekiti Mswahili Ndio imezidisha ... wao Kila kitu ni tukio! Umeona picha za South Afrika ... Unaona kabisa mtu analazimisha apate picha!Ni ushamba lakini Ndio hivyo .. politics is about Who Get What, When and How!
Kuna watu niliwaambia miaka 2 iliyopita kuwa hii Yañga kama Simba hawata Reinvest ' tutapitwa ...na ziona dalili hizi! Kuna Wanasimba wanaweza kupinga hili lakini ni ukweli Mchungu!
Yanga wana mwenyekiti?
 
Baada ya kipigo Cha 5G nilisikia ulilazwa mkuu .....but now naona umeludi
Huwa sina ushabiki wa kijinga, ndio maana ni mara chache sana utaona naanzisha uzi humu. Lakini kuna watu kila baada ya saa moja unakuta ameanzisha uzi. Hao ndio wanaweza wakalazwa
 
Huwa sina ushabiki wa kijinga, ndio maana ni mara chache sana utaona naanzisha uzi humu. Lakini kuna watu kila baada ya saa moja unakuta ameanzisha uzi. Hao ndio wanaweza wakalazwa
[emoji23][emoji23]

Pole sana mkuu ...hata uandishi wako unaonekana bado hauja recover
 
Back
Top Bottom