Mchanganuo wa kujenga nyumba ya vyumba vitatu na sebule

Mchanganuo wa kujenga nyumba ya vyumba vitatu na sebule

sample house.
1. image kama inavyoonekana
2. PDF ni ramani ya hiyo image
3. Excel file ni estimate cost ya hiyo ramani

NB; assume project ipo dsm au maeneo ya jirani yanayozunguka dsm. also assume plot ni flat or ina gentle slope.

NOTE; nimeweka Excel kwa makusudi kwamba unaweza ku'edit kulingana na bei halisi za building materials na labour charge kulingana na eneo unalokusudia kujenga.
kwa mimi hizo ndo bei zangu za labour charge and supervision.
 

Attachments

  • 1.jpg
    1.jpg
    669.3 KB · Views: 2,701
  • sample1.pdf
    sample1.pdf
    79.2 KB · Views: 1,789
  • sample.xls
    sample.xls
    21 KB · Views: 1,755
Ukitaka kujua idadi ya tofari lazima ujue ramani yako ikoje! Nyumba ya vyumba vitatu self container sio ndogo hizo tofari 1600 zitaishia msingi tu!
 
Hapo mkuu inategemea na ukubwa wa vyumba na urefu wa msingi, mathalani kiwanja ni tambarare na nyumba ya ukubwa wa 11m *12m, si chini ya tofali 2500.

Umesema vyema kua inategemea na ukubwa wa nyumba
:thumbup:
 
ramani nyumba ya vyumba vitatu. chumba-sebure-chumba au chumba-chumba-chumba kuna ramani zaidi ya hizi?

Hayo ni maelezo sio ramani......Inahitaji ramani yenye vipimo, utatumia material gani na mambo mengine yanayohitajika kama septic tank/soak away pit/ sanitaries
 
mkuu kuelimishana muhimu, kwa kila mtu na fani yake, huwezi kujua fani zote.
Ni kweli lengo ni kusaidiana. Mtu anauliza swali liko nusunusu atasaidiwaje. Hiyo inaonyesha kuwa muuliza swali hayuko serious au anajifurahisha tu
 
naungana na grafani hii idadi ya tofali 1600 sio kweli kabisaaaaaa,,,,,
Mkuu amesema ana vibanda vitano kwa idadi hiyo ya matofali. Angesema nyumba ningemuuliza maswali zaidi...

Mkuu kuna watu wanadhani nyumba ya vyumba vitatu zote zinafanana, wangejiuliza kwanza huyo mtu anayeuliza anahitaji nyumba yenye ukubwa wa vyumba kiasi gani, bafu ukubwa gani, jiko ukubwa gani.

Nyumba nyingi za siku hizi ukiweka kitanda na kochi robo seti kimejaa, sasa sijui anafananisha na chumba ambacho unaweza kuingiza kitanda 6x6, meza, full sofa set na meza yake, kabati na TV stand....
 
Ukitaka kujua idadi ya tofari lazima ujue ramani yako ikoje! Nyumba ya vyumba vitatu self container sio ndogo hizo tofari 1600 zitaishia msingi tu!
Kaka huyo anayesema tofali 1600 anadanganya umma, mimi mwenyewe nyumba yangu ya kwanza yenye vyumba 2 na master bedroom 1, jiko, bafu choo, sebule na dinning msingi peke yake ulitumia tofali sio chini ya 800, sasa kweli tofali nyingine 800 zinaweza kusimamisha nyumba au kibanda!
 
hapana nina kauzoefu kidogo kwenye hayo mambo...

kiongozi hiyo nyumba inasimama kwa tofari hizo, vyumba 3, kimoja wapo kikiwa self, jiko, sebule kubwa kukidhi pia meza ya chakula na choo, ninavyo vibanda kama hivyo vitano hapa mjini
Umeulizwa na nani humu Jf mpaka utuambie unavibanda vitano acha kierehere wewe...!!
 
Wana JF, natumai mko vizuri.

Naomba mwenye uzoefu na ujenzi anisaidie. Nitahitaji matofali mangapi ya sementi (BLOCK) ili kujenga nyumba hii hadi boma kuisha. Naomba kuwasilisha, KARIBU.

Nianze kwa kukuuliza unaishi wapi katika jiji la Dar,kama upo Mbezi maeneo mengi hayapo level. Pia kwa kuzingatia status ya Mbezi uzianze ujenzi wa ku-beep. Tafadhali andaa materials yote(Mchanga,Cement,Mawe,Tofali etc) in bulk ili kuepusha aibu ya kuishia kwenye foundation
 
sample house.
1. image kama inavyoonekana
2. PDF ni ramani ya hiyo image
3. Excel file ni estimate cost ya hiyo ramani

NB; assume project ipo dsm au maeneo ya jirani yanayozunguka dsm. also assume plot ni flat or ina gentle slope.

NOTE; nimeweka Excel kwa makusudi kwamba unaweza ku'edit kulingana na bei halisi za building materials na labour charge kulingana na eneo unalokusudia kujenga.
kwa mimi hizo ndo bei zangu za labour charge and supervision.
Nimeilike hiyo ramani
 
Mod nadhani uunganishe hii thread nyingine kama hii iliyowahi kuletwa hapa miezi kama miwili iliyopita ILI wasomaji wapya wapate elimu zaidi.Ahsante
 
sample house.
1. image kama inavyoonekana
2. PDF ni ramani ya hiyo image
3. Excel file ni estimate cost ya hiyo ramani

NB; assume project ipo dsm au maeneo ya jirani yanayozunguka dsm. also assume plot ni flat or ina gentle slope.

NOTE; nimeweka Excel kwa makusudi kwamba unaweza ku'edit kulingana na bei halisi za building materials na labour charge kulingana na eneo unalokusudia kujenga.
kwa mimi hizo ndo bei zangu za labour charge and supervision.
hii ramani kali sana nimeipenda,je hauna ramani ya vyumba viwili m/bedroom na kimoja cha watoto?
nalog off
 
Back
Top Bottom