Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mnaotengeneza juice mnaweka ndizi, hiyo juice inakaa muda gani, mi najua ndizi inaleta povu kwenye juice
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisaidie, kama tense sina naweza tumia nini?1.Tende saga.
2.Karanga zikaange ondoa magamba Kisha saga.
3.maziwa fresh chemsha acha yapoe.
Kwa kutumia brender au kipekecho (Kama ndo jina lake) changanya mchanganyiko huu.
Tumia maziwa kutengeneza uzito au wepesi uutakao.
Hamna haja ya sukari hapo.
Hii juicy Ni balaaa halafu imekaa kitajiri mno.
Nawashauri mjaribu
Hapana sijajua aiseeNisaidie, kama tense sina naweza tumia nini?
MkuuParachichi + passion + vanila
Embe + parachichi + vanila
Embe + passion
Ndizi + papai + vanila
Embe {mbichi} + papai
Embe ng'ong'o + passion
Sema kws ipi unayotakaMkuu
weka na hatua za kutengeneza
Embe + passionSema kws ipi unayotaka
Ok, kwanza osha matunda yako vizuri na maji safiEmbe + passion
Shukrani sana mkuuOk, kwanza osha matunda yako vizuri na maji safi
1. Baada ya kumaliza kumenya embe zako, kata vipande vipande kwa kadri ambavyo utaona vinaweza kusagika kwa urahisi kwa kutumia blender
2. Saga embe kwa blender kisha chuja
3. Kata passion zako kisha toa ule mchanganyiko wa ndani weka kwenye blender
4. Saga passion zako kwa blender
5. Chuja passion zako kwa kuchanganyia kwenye ule mchujo wa embe, huku ukikadiria uzito, kulingana na vile unapenda {nzito au nyepesi}
5. Ongezea sukari, na aina nyingine ya flavour utakazopenda.
Hapo juice ipo tayari, hifadhi kwenye jokofu ili kuweza kupata baridi.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] PamojaShukrani sana mkuu
The same to me napendaga Sana hiyoPassion+Embe+Chungwa+Nanasi
Parachichi+Ndizi+Papai
Hapo napenda balaa
Weka ndizi mbivuNisaidie, kama tense sina naweza tumia nini?
Tumia kistaharabu, wanaume tu.1.Tende saga.
2.Karanga zikaange ondoa magamba Kisha saga.
3.maziwa fresh chemsha acha yapoe.
Kwa kutumia brender au kipekecho (Kama ndo jina lake) changanya mchanganyiko huu.
Tumia maziwa kutengeneza uzito au wepesi uutakao.
Hamna haja ya sukari hapo.
Hii juicy Ni balaaa halafu imekaa kitajiri mno.
Nawashauri mjaribu
Wakina baba haturuhusiwi kuchangia humu..?karibuni akina kaka na akina dada.
kila mtu anaweza kushare uzoefu wake.
ni mchanganyiko gani wa matunda huleta juice yenye ladha nzuri.kila mtu anaweza kuikubali.sio kwa matumizi ya familia tu..hata for commercial purpose.
karibuni!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakina baba haturuhusiwi kuchangia humu..?