Nilijua utapinga ndo unahimiza iwe mapema[emoji41]Iwe mapema...
Hapo nilikuwa napima tu upepo, kwa kifupi ninapinga kwa nguvu zote yaani...Nilijua utapinga ndo unahimiza iwe mapema[emoji41]
Umesharuhusu bwana hapa tu tunafanya taratibu za awaliHapo nilikuwa napima tu upepo, kwa kifupi ninapinga kwa nguvu zote yaani...
Sijaruhusu hata kidogo. Usithubutu kukutwa na bwana Pepsi...Umesharuhusu bwana hapa tu tunafanya taratibu za awali
Haha basi tutaonana kwa siriSijaruhusu hata kidogo. Usithubutu kukutwa na bwana Pepsi...
Hahaha! Naona japo nimekukataza ila bado umedhamiria amiria kutimiza nia ya kuonana tena kwa siri eeh? Kumbuka hamna siri ya watu wawili, nitajua tu...Haha basi tutaonana kwa siri
Sasa je bora uniruhusu kiroho safi ili nikienda nijue kabisa kwamba najulikana nikienda kwa siri ntafanya yote ya siriHahaha! Naona japo nimekukataza ila bado umedhamiria amiria kutimiza nia ya kuonana tena kwa siri eeh? Kumbuka hamna siri ya watu wawili, nitajua tu...
Hii nia inakadhia. Mwisho wake si mzuri naona kuna kuonana na kuweka ya siri sirini. Sikubaliani na wazo lako. Sitaki.Sasa je bora uniruhusu kiroho safi ili nikienda nijue kabisa kwamba najulikana nikienda kwa siri ntafanya yote ya siri
Kesho asubuhi nipo mlangoni kwakoKapeace
Hehehe basi ntajua ntakavyofanyaHii nia inakadhia. Mwisho wake si mzuri naona kuna kuonana na kuweka ya siri sirini. Sikubaliani na wazo lako. Sitaki.
Teh teh teh hakuna namna zaidi ya kufuta mpango wa mambo kando. Hamna kuonana.Hehehe basi ntajua ntakavyofanya
Haya tufanye umeshinda kwa sasa ila sina hakika kama utaendelea kuwa mshindiTeh teh teh hakuna namna zaidi ya kufuta mpango wa mambo kando. Hamna kuonana.
Teh teh teh! Futa kabisaa huo mpango. Tena uwe uamuzi wa kudumu.Haya tufanye umeshinda kwa sasa ila sina hakika kama utaendelea kuwa mshindi
Zamani ilikuwa raha sana.miaka ya 2010 mpaka 2014 wanajf tulikuwa tunakutana sana...tulichangiana michango ya harusi na tulihudhuria kwa wingi .... tulifanya tour sehem kama ngorongoro,iringa, tanga dsm nk kote huko tulikutana na kupiga story na kubadilishana mawazo..by then jf was jf.....
sitahau nilipokutana na regia mtema..kisha kesho yake akaaga dunia..
WeweMimi natamani saana nikutane na huyu kaka anajiita Nokia83,nanyi tiririkine tuone..
Napenda one day this year tu arrange plzKwa jinsi tunavyoishi humu huwa inatokea tu kutokana na michango yetu na kuzoweana inafikia hatua kila uliyezoweana naye unataka itokee siku muonane ili kupiga story pamoja.
Mie nina wengi sana jamaani. Ipo siku ambao hatujaonana tutaonana na kuchekana kwa sababu wengine sie ni vibibi. [emoji85] [emoji85] [emoji85] Hahahaaaa.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
h [USER=94736]Malcom Lumumba niaje bro mtema madini.[/USER]