Mchangiaji gani katika hili jukwaa unatamani kukutana nae live?

Mchangiaji gani katika hili jukwaa unatamani kukutana nae live?

Hahaha! Naona japo nimekukataza ila bado umedhamiria amiria kutimiza nia ya kuonana tena kwa siri eeh? Kumbuka hamna siri ya watu wawili, nitajua tu...
Sasa je bora uniruhusu kiroho safi ili nikienda nijue kabisa kwamba najulikana nikienda kwa siri ntafanya yote ya siri
 
Sasa je bora uniruhusu kiroho safi ili nikienda nijue kabisa kwamba najulikana nikienda kwa siri ntafanya yote ya siri
Hii nia inakadhia. Mwisho wake si mzuri naona kuna kuonana na kuweka ya siri sirini. Sikubaliani na wazo lako. Sitaki.
 
miaka ya 2010 mpaka 2014 wanajf tulikuwa tunakutana sana...tulichangiana michango ya harusi na tulihudhuria kwa wingi .... tulifanya tour sehem kama ngorongoro,iringa, tanga dsm nk kote huko tulikutana na kupiga story na kubadilishana mawazo..by then jf was jf.....
sitahau nilipokutana na regia mtema..kisha kesho yake akaaga dunia..
Zamani ilikuwa raha sana.
Unakutana na member na unakunywa nae bila wasiwasi.
ila zama hizi sizo....lazima muishie gesti.
Watu wana hasira sana na anko
 
Kwa jinsi tunavyoishi humu huwa inatokea tu kutokana na michango yetu na kuzoweana inafikia hatua kila uliyezoweana naye unataka itokee siku muonane ili kupiga story pamoja.

Mie nina wengi sana jamaani. Ipo siku ambao hatujaonana tutaonana na kuchekana kwa sababu wengine sie ni vibibi. [emoji85] [emoji85] [emoji85] Hahahaaaa.

[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Napenda one day this year tu arrange plz
 
Back
Top Bottom