Mchangiaji Malumbano ya Hoja ITV na Radio One: Wanawake wengi Walioajiriwa Maofisini walitoa na wanatoa bado Rushwa ya Ngono

Yaani hawa viumbe hawajawahi kuwa na userious wowote kwenye kila wanachokifanya

Unaweza kumwacha home kwa kufikiria akienda kudinywa na mabosi zake lakini bodaboda au mbeba taka tu mtaani kwako hapo akajilia tunda uzuri kabisa.

Lakini uzuri wao wakifikaga age flani huwa wanatulia kutokana na maumbile yao,so cha kuomba Mungu ni kuomba uzee uwakute mkiwa hamna mtoto wa nje au magonjwa ya kuambukiza.
 
KUna jamaa yangu mmoja mkewe alikuwa anafanya kazi tasisi binafsi so kila siku mkewe anakuja na elfu hamsini some times laki jamaa akaanza shemeji yenu ofisi yao ipo vizuri sana kila siku anatoka na elfu hamsini some times laki moja, wazee wa Cuba tunaguna mmh ofisi ile kwa kipi cha ziada kufuatilia sana kumbe shemeji yatu kila siku anatoa papuchi kwa boss yani boss akanunua mpaka
Kitanda akaweka ofisini kwake eti akichoka apumzike
Kumbe ilikuwa machinjio
 
Rushwa ni nyingi Sana na ccm ndio wapuuzi Sana na ni sugu kwa rushwa! Pumbavu zao!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
"

Ndiyo maana wenye Akili hatutaki Wake na Mademu zetu wakafanye Kazi Maofisini ila tutajichanga na Kuwafungulia Miradi Majumbani au Kushirikiana nao Ng'adu kwa Ng'adu katika Shughuli zetu huku tukiwa tunawaona na Kuwadhibiti kiurahisi.
Malays ni malaya hata awe mama wa nyumbani full time abatement hata na muuza genge akiaha kwenda kusuka nywelw.anamalizana huko.huko,akienda sokoni anamalizana huko huko,ukitoka kidogo tu hesabu maumivu

Kifupi vigumu kudhibiti mwanamke malaya
 

[mention]BabaMorgan [/mention] mkuu kwenye hii hoja yako nitakupinga japo upo sahihi kwa upande m1.

Kuna watoto wakike walio soma na wakapata ajira bila rushwa ya ngono kabisa nakubali ila ni wachache sana. Hawa tuwaite familia bora na wanao jiweza ki masomo.

Ila nikuhakikishie kama binti yako ni mzuri kuanzia (kiasi>) kwenda mbele, alafu akawa kwenye haya makundi basi jua anachakatwa na atachakatwa vibaya mno mpaka aje kutoboa.

*Anauwezo darasani ila ana wazazi wenye kipato kidogo[emoji533][emoji3514]
*Hana uwezo darasani pia wazazi hawana kipato[emoji533][emoji3514]

Pia

*Ana uwezo darasani ila wazazi/sponsor wake kipato kipo[emoji533][emoji777]
*Hanauwezo darasani ila wazazi/sponsor wake kipato kipo [emoji533][emoji777]

Mkuu ukijiona unabinti hapo kwako na wewe mzazi ndo tegemezi lake ila hauko financially stable, hauna connections ambazo na wewe ni boss sio chawa, wala hauna sponsor kwenye familia yako kumsaidia binti yako kufikia zile ndoto anazo ziota bro her legs will be the only way to get there.

Na hii haishii kwa binti tuu pia ukiwa na mke mwenye ndoto kubwa na wewe mume hauna uwezo wa kuzitimiza ndoto zake on your own basi jua mkeo atachezea[emoji533] na ndo itakua gate pass yake mpaka afikie ndoto zake.

Haya yote nina mifano halisi na experience kwa kuona mwenyewe maana binafsi nimebahatika kua na marafiki wengi wanawake kwenye utumishi na private sector na wamenionesha wanavyopata shida kutaka kupita gate la mafanikio ambalo gatekeeper wake ni mwanaume.
 
Malays ni malaya hata awe mama wa nyumbani full time abatement hata na muuza genge akiaha kwenda kusuka nywelw.anamalizana huko.huko,akienda sokoni anamalizana huko huko,ukitoka kidogo tu hesabu maumivu

Kifupi vigumu kudhibiti mwanamke malaya

Ni kweli MALAYA ni MALAYA, ila ni bora kua malaya kwa fantasy zake mwenyewe, atoe bure, sio avulishwe chupi kwajili ya kujitoa kwenye ufukara na shida alizorithi kutoka kwenye familia yake ama kwa mumewe.
 
Usiwe serious saaana kwenye issue hizo, Ile sio chaki kusema ikitumika itaisha. Mwanamke akiamua lake utapigwa tukio hata umgande vp.

Nilishatoa story humu kipopa mmoja mfanyabiashara kariakoo muda wote na mkewe wapo close na kwenye mishe zao wanakokotwa na vanguard lkn mwanangu siku kaenda kufunga mzigo town bimkubwa kamzimia na namba katoa.

Sasa hv bimkubwa safari za mikoani huku haziishi anakuja kupigwa pipe na na mwanangu huku dingi akijua bimkubwa an search for a new customers.

So mwanamke kama hajaliwa Kwa kutongozwa na mabosi au workmates zako atatowa mwenyewe Kwa kutafuta changamoto mpya huko nje kwakuwa sometimes yanakinaisha.

Stay cool nigger....
 
Watu wenye mawazo haya ndio uwatamani kingono mpaka mabinti wa kazi wanaosaidia kazi Nyumbani ambao kimsingi ni sehemu ya Watoto wako.

Sasa usitegemee la maana kutoka kwa mtu anayeongozwa na kichwa cha chini badala ya ubongo.
 
Huna unachokijua na acha Unafiki na Uwongo sawa? Unatumia nguvu Kubwa kutetea kuwa hakuna Rushwa ya Ngono wakati Binafsi nimeshafanya Kazi Ofisi kadhaa zinazojitambua na mpaka leo Wanawake wanalalwa na Mabosi / Wakubwa zao bila Huruma.
 
Ni bora hoja hiyo kaitoa mwanamke mwenzao, yani mwanaume ndio angesema hivyo mafeminist ya jf ndio yangelipuka utadhani kinu cha nuclear energy kimelipuliwa.
Tena baada ya Kusema hivyo Mtangazaji wa Zamu Jana Kapalatu akamwambia arekebishe aseme baadhi Yeye akakomaa pale pale kwa kusema ni Wanawake wote huku akijiamini kabisa hadi nami nikampenda kwani kasema Ukweli mtupu japo Wanafiki watampinga na hata Kumkosoa hapa.
 
Mbona povu hivyo, au na wewe ni mhusika? Nimesema wengi, si wote!
Kwa sample ya niliowafanyia usaili ni more than 60% Hatari na nusu, jaribu kufanya utafiti kama mimi utashika kichwa chako!
Mimi nakuelewa na nakuamini kabisa.
 
Weka kavideo kidogo ili kunogesha, master
 

UNAJIONA UMEONGEA POINT KUCHANGAMSHA GENGE LA JF


NATAKA NKUAMBIE UMEONGEA PUMBA TENZA ZA MPUNGU TAKATAKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…