Mchangiaji Malumbano ya Hoja ITV na Radio One: Wanawake wengi Walioajiriwa Maofisini walitoa na wanatoa bado Rushwa ya Ngono

Sasa kama Mkeo Mimi ndiyo Boss wake hapa Ofisini Kwetu na Namkaza Kutwa ili apate Safari zenye Allowances Kubwa kwanini nisiamini?

Halafu anajua kweli kweli Kunikatia Kiuno chake Fally Ipupa anasubiri. Ulimuokota wap? Na kwanini huwezi Kumtosheleza?
Kiuhalisia hakuna mwanaume aneweza kumtosheleza mwanamke kwa kila kitu, mwanamke ni kiumbe kinachoendeshwa na hisia.
Usjisifu kula wake za watu ipo siku utapoteza marinda.
 
UNAJIONA UMEONGEA POINT KUCHANGAMSHA GENGE LA JF


NATAKA NKUAMBIE UMEONGEA PUMBA TENZA ZA MPUNGU TAKATAKA
Ukweli siku zote unauma
Nasiku zote msema kweli hapendwi
Mke wako au demu wako kashakuwaga demu wa mtu,tena kaliwa sana,,
Bikra umemvunja wewe??
Sasa unajitamba nini kama haujamvusha bikra??

Siku ukikuwa utaamini nacho kisemo wewe bado mtoto huwezi pewa siri za kikubwa
 

Wewe ndo mtoto.

Kwahyo kwa kuandika haya unakiri kuwa mama yako mwenyewe alikuwa anachepuka waziwazi na ikapelekea mkapatikana watoto mliokuwa na baba tofauti na hvyo alikuwa anaenda nje ya ndoa miaka yake yote ya ujana

Tupe ufafanuzi sasa!
 
Ukienda kutibiwà hospitalini,tafadhari ndugu yangu,pendelea kupatiwa matibabu na daktari wa kiume.Utakuja kunishukuru baadae.Tambua baadhi ya madaktari wa kike,hupewa feva katika masomo yao.
 
Wewe ndo mtoto.

Kwahyo kwa kuandika haya unakiri kuwa mama yako mwenyewe alikuwa anachepuka waziwazi na ikapelekea mkapatikana watoto mliokuwa na baba tofauti na hvyo alikuwa anaenda nje ya ndoa miaka yake yote ya ujana

Tupe ufafanuzi sasa!
Ebu jielewe
Ukweli wacha usemwe.
Asilimia 55 wanaume wanaishi na watoto wasio wao.
Wanawake wote malaya,mtu kama sister(katoliki) anachepuka na padre sembuse mtu wakawaida.
Kipindi cha miaka 18 mpaka 36 kwa mwanamke anakuwa na mshawasha wa mapenzi sana,sasa kama mwanaume utakuwa bize na kazi au huwezi kumtosheleza mke wako lazima uchapiwe tu.
Ukweli usemwe vijana wa sasa mazoezi hakuna:bao moja chali tena unageukia pembeni sasa kwa kweli siutachapiwa.
 

Hujajibu swali langu.

ngoja nkusaidie, Inawezekana ulikulia mazingira ambayo ulikuwa unayaona hayo yote na ukayaona ya kawaida na mpka sasa imekuwa hofu yako kisaikolojia na unaamini kuwa ukioa au kama umeshaoa kuwa watakuchapia/wanakuchapia mke wako.

Ama itakuwa umelelewa na singo maza ambaye alikuwa na tabia hizo.

Nataka nikuambie kuwa katikati ya dhoruba kubwa huwa kuna tumaini ya kuiona ardhi/kisiwa
namaanisha hata dunia iweje au wanawake waweje wale honest and principled women watakuwepo TU!
 
Topic Closed.
 
Kuhusu Mada naafikiana na wewe.
Walio wengi maofisini naamini kabisa kuwa wako pale sababu ya ngono.


Mkuu ila kuhusu Cocastic tutagombana.
Mkuu inamaana hata humu JF wake za watu wanagongwa Kama huko makazini!? Maana huyo mnaemgombania ni Mke wa Mtu!!
 
Wote wanaopinga hakuna Rushwa ya Ngono ni 'damn Fools' na ikiwezekana wakae mbali kabisa na huu Uzi Wangu.
 
Utter Nonsense.
 
Ukienda kutibiwà hospitalini,tafadhari ndugu yangu,pendelea kupatiwa matibabu na daktari wa kiume.Utakuja kunishukuru baadae.Tambua baadhi ya madaktari wa kike,hupewa feva katika masomo yao.
Nimeliona hill hasa Massana na Lugalo Hospitals japo nasikia hata Muhimbili National Hospital ndiyo limeshaota kabisa Mizizi hasa Wodi ya Watoto.
 
Topic Closed.
 

Topic Closed.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nimeandika kuhusu mwanamke aliyefanikiwa kusonga mbele achana na WA mtaani, Ina maana hakuna lecturer mwanamke?
Mwanamke unatakiwa umzidi karibia kila kitu la sivyo utatuletea Uzi apa.
By the way mi sio mwanafunzi wa Chuo Kikuu chochote mi naeleza mambo niliyokutana nayo.
 
Office ni watu,kwa hiyo hii JF tayari ni office maana mishe humu zinaendelea Kama kawa!!
Sidhani kama ukiongelea ofisi utaiweka JF kuwa ni miongoni.

Sidhani kuwa ukiongelea ofisi na jinsi majukumu ya ofisi yanavyotambulika na wengu (mfano ofisi za idara flani, ofisi za wakuu wa shule, ofisi za serikali kama halmashauri) pia utaiainisha JF hii.

Unataka kusema kuwa tunavyowasiliana hapa JF tuko ofisini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…