Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Sasa audi ndio ya kwenda nayo kuishi huko kisulu?! Embu kuwa serious basiAtleast ungekuwa hata na options 5 za SUVs unazotaka kununua.
Land Rover zina reliability issues, kuishi nayo mkoa itakukwaza sana. Ingekuwa unakaa nayo mjini hapa sawa.
Atleast weka options nyingine kama 4 uanze research upya.
Ingekuwa mimi ni wewe, discovery nisingeiweka kwenye options zangu.
Hujawahi kuwaza 2017Audi SQ7, ni 4l diesel, inakupa 429hp na 664lbft torque.
Used naweza kununua leo kesho siitaki nawapelekea dealer wa hiyo gari wanauza sio mpya tena hiyo...huku hakuna unachojua Mkuu uliza utaelekezwa magari SA ni mengi kuliko unavyodhania na bei za kawaida tuu..Nimeona Suzuki Jimmy hizi latest nazo Ni used? SA Used labda zile zilizopata ajali au za wizi ambako Interpol ipo siku watakuletea noma
Bei ya kawaida Ni ngapi Mkuu?Used naweza kununua leo kesho siitaki nawapelekea dealer wa hiyo gari wanauza sio mpya tena hiyo...huku hakuna unachojua Mkuu uliza utaelekezwa magari SA ni mengi kuliko unavyodhania na bei za kawaida tuu..
Inategemeana na muuzaji na aina ya gari Mkuu magari yapo minadani mengi yanapigwa vumbi huko SMD na makampuni mengine...Bei ya kawaida Ni ngapi Mkuu?
Rush link basiInategemeana na muuzaji na aina ya gari Mkuu magari yapo minadani mengi yanapigwa vumbi huko SMD na makampuni mengine...
Nipo serious.Sasa audi ndio ya kwenda nayo kuishi huko kisulu?! Embu kuwa serious basi
Nisharusha humu ila ni kufungua na kuangalia tuu Matapeli yamevamia huko watu wengi wanalia huko ambao wanataka kununua kama Japan makampuni sahihi yapo ila mara ya kwanza ni bora uende harafu trip zinazofuata unamtuma dereva tuu akapakie..Rush link basi
Audi ni Luxury car ipo specifically kwa ajili ya mazingira ya mijini na sio remote area kama kasulu ama kibondoNipo serious.
Kuna shida hapo?
Hivi kuna gari ambayo sio chuma?Ngoma kama hizi ndio za kwenda nazo huko kasulu. Chuma ya Kiumeni.
Kambi popote, haichagui barabara
View attachment 2104733
Audi ni Luxury car ipo specifically kwa ajili ya mazingira ya mijini na sio remote area kama kasulu ama kibondo
Audi ni luxury car. Haziwezi mazingira magumu compare to LCInategemea na ni aud gan unaisemea zipo audi za kazi google
Tuambie hio ya kazi ni ipiInategemea na ni aud gan unaisemea zipo audi za kazi google