Mchango wa diaspora wa kike katika jamii ya kitanzania...

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Wadau nawaalika katika mjadala, washiriki wakuu naomba wawe Smile, Mayasa Heaven on earth, Natalia na Mrembo by Nature! Bila kujaliwanapoishi..nadhani kila mtuanajua juu ya kufanikiwa kwawadada wakitz wanaoishi nje ya nchi hususani wale wa u.k na u.s.a!Hebu tucheki nini kikubwa, kuishi nje (U.S and U.K)tu! ni kufanikiwa? Kuna sababu yoyote yakufil superior just because mtu yupo nje? na hapigwi na vumbi la bongo? haya ni machache yatakayojadiliwa katika mjadala huu pia mifano hai inaweza kutumika.mia
 
Last edited by a moderator:
Kwanini mtu afikie kufeel superior ukiwa bado ni tegemezi kwa mume ambaye ni pensioner au unafanya kazi zaidi ya moja kumake the end meet, shahada ya kueleweka pia huna au tu kwasababu unaishi nje?


Kwa mtu mshamva labda ni sawa lakini kuishi nje si hoja kama huna achievement ya maana and fyi good life is not in UK n US
 
faida no moja
kukonyezwa na wazungu daily....hata kama hudate mzungu 100 % ile tu kutamaniwa na wazungu nayo ni chati eti sio hao wadada wa bongo ...akigeuga huku ...mwendesha boda boda...akienda mbele konda wa daladala....siku kaamka vizuuri ndo muuza mitumba mwenge
wenzake full kukonyezwa na binamu zake bush na majirani zake watu wenye dollar zao za kutosha mfukoni
 
je kuna mchango wowote wanao utoa kwa Tanzania? je watanzania wananufaika na uwepo wao majuu?. Je maisha wanayo tuonesha huku ndo hali halisi ilivyo huko?. je madada hawawezi kufanikiwa wakiwa wakiwa hapa bongo? Tofauti gani iliyopo kati ya wale wa majuu na hawa wa bongo?.
cc. Passion Lady, Karucee, Mwali, Madame B, gfsonwin, Remmy, mange kimambi. mia
 
Last edited by a moderator:
ngoja nikacheki numbers nije kujibu kwa uhakika. Ila hawa wabeba maboxi wanatusaidia kuliko aid. Remittances ndio 2nd after FDI. Shukurani zangu za dhati ziwaendee kina Nyani Ngabu et al kwa kutusaidia kwa zaidi ya 3B$/annum
 
Last edited by a moderator:
ngoja nikacheki numbers nije kujibu kwa uhakika. Ila hawa wabeba maboxi wanatusaidia kuliko aid. Remittances ndio 2nd after FDI. Shukurani zangu za dhati ziwaendee kina Nyani Ngabu et al kwa kutusaidia kwa zaidi ya 3B$/annum

nakusubiri kwa hamu mkuu. mia
 
Last edited by a moderator:
mimi nipo simiyu hapa ...hapa ni UK ama USA? nijibuni kwanza

hapo ni kanda ya ziwa..tena karibia na ziwa victoria..naona mjadala unakuhusu siyo kwa sababu upo Simiyu,
 

binafsi naona kama mtu ni mpambanaji, ni rahisi sana kufanikiwa akiwa hapa bongo! Huko u.s competition ni kubwa sana...
CC; Natalia
 
Last edited by a moderator:
ngoja nikacheki numbers nije kujibu kwa uhakika. Ila hawa wabeba maboxi wanatusaidia kuliko aid. Remittances ndio 2nd after FDI. Shukurani zangu za dhati ziwaendee kina Nyani Ngabu et al kwa kutusaidia kwa zaidi ya 3B$/annum

hii kubwa sana ati..3billions $? nyingi sana..are they going direct to our community? au ndiyo ki individual zaidi? then ukitoa source itabamba sana..btw! hoja ya mjadala unazungumzia kina diaspora wakike..
 
Last edited by a moderator:
kule maisha mteremko kwa sababu vile vizee ukivikubalia mnakula pension wote na hicho ndo kinawapa jeuri,ila hawana tija kwa taifa letu zaidi sana ni mafanikio binafsi ingawa sio wote wanaofanikiwa.
 
hii kubwa sana ati..3billions $? nyingi sana..are they going direct to our community? au ndiyo ki individual zaidi? then ukitoa source itabamba sana..btw! hoja ya mjadala unazungumzia kina diaspora wakike..
Source yangu ni the little book of financial numbers publicized by the world bank. but as I said nitacheki tena and revert.
Najua Mh. Zitto Kabwe nae aliandika on it. Leo jioni nikiwa home nacheki na naleta data. It could be more...
The money goes directly to individuals and most of them use it for education and health.
 
kule maisha mteremko kwa sababu vile vizee ukivikubalia mnakula pension wote na hicho ndo kinawapa jeuri,ila hawana tija kwa taifa letu zaidi sana ni mafanikio binafsi ingawa sio wote wanaofanikiwa.

teseme kule wanakaa sababu ya starehe siyo kuwasaidia ndugu zao na jamii kwa ujumla? kuna haja ya madada zetu kuumiza kichwa ni vipi waende ulaya kwa hofu kwamba hapa bongo hamna mafanikio?. mia
 
hii kubwa sana ati..3billions $? nyingi sana..are they going direct to our community? au ndiyo ki individual zaidi? then ukitoa source itabamba sana..btw! hoja ya mjadala unazungumzia kina diaspora wakike..

Soma hii, na ni ya 2010


  • There are approxi-mately 30.6 million Africans in the diaspora. A major-ity of them are migrants within Africa (14.5 million), whereas 8.2 million and 2 million Africans, respectively, call Europe and the Americas home.
  • The African diaspora sends huge amounts of money to their mother countries, estimated at $40 billion in 2010.
 
teseme kule wanakaa sababu ya starehe siyo kuwasaidia ndugu zao na jamii kwa ujumla? kuna haja ya madada zetu kuumiza kichwa ni vipi waende ulaya kwa hofu kwamba hapa bongo hamna mafanikio?. mia

baadhi wakienda wanazisaidia familia zao,lakini wengine wakienda familia inapata sifa tu tuna mtoto wetu ulaya basi,ninachoamini mimi maisha ni popote mtu akiona kule panamfaa hakuna neno........ila taifa kama taifa kutegemea maendeleo kutoka kwa hao ndugu zetu bado sana.mia
 

so they deserve to feel superior?
 

faida kwa familia si mbaya..bt wewe unawazungumziaje hawa wa ndani, na michango yao mikubwa mikubwa!! mi naona hawa ndiyo wakusifiwa..kina rita na wengine!!
 
Wanasema maisha ni popote kama wewe ni mpambanaji na hutachagua aina ya kazi. Kwa ulaya na nchi zingine za mbele wanasema ni rahisi zaidi kwani hela yao ina thamani so ukijilipua na mabox sana na kazi zingine kama kuchambisha vizee unatoka mapemaaaaaa.

Tukirudi kwangu, hakuna maisha mimi napenda kama kuishi sehemu ambayo mtu yuko secured from atleast all sources of threats.....walioko mbele wanajivunia sana hili, kwmba vibaka wa ovyo ovyo ni almost hakuna, huwezi panda kwenye usafiri wa umma ukatukanwa from no where kama ilivyo tanzania, services like maji, umeme na mengineyo vipo viko available 24/7 unlike tz ambako hata maji ni ishu, ile ya watu atleast kuheshimiana na si kuvunjiana heshima from nowhere, rushwa ndogo ndogo hazip[o kwa sana kama ilivyo tz......n.k n.k Haya ni baadhi ya mambo yanayoweza kumfanya mtu aanayeishi nje kiasi ajione yeye yuko sehemu nzuri kuliko sie tulioko kwa mrombooo ambapo polisi muda wowote hata anaweza kukushut wakati unakula tundi na mpenzio kwenye gari figganigga
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…