Mchango wa diaspora wa kike katika jamii ya kitanzania...

Mchango wa diaspora wa kike katika jamii ya kitanzania...

Wanasema maisha ni popote kama wewe ni mpambanaji na hutachagua aina ya kazi. Kwa ulaya na nchi zingine za mbele wanasema ni rahisi zaidi kwani hela yao ina thamani so ukijilipua na mabox sana na kazi zingine kama kuchambisha vizee unatoka mapemaaaaaa.

Tukirudi kwangu, hakuna maisha mimi napenda kama kuishi sehemu ambayo mtu yuko secured from atleast all sources of threats.....walioko mbele wanajivunia sana hili, kwmba vibaka wa ovyo ovyo ni almost hakuna, huwezi panda kwenye usafiri wa umma ukatukanwa from no where kama ilivyo tanzania, services like maji, umeme na mengineyo vipo viko available 24/7 unlike tz ambako hata maji ni ishu, ile ya watu atleast kuheshimiana na si kuvunjiana heshima from nowhere, rushwa ndogo ndogo hazip[o kwa sana kama ilivyo tz......n.k n.k Haya ni baadhi ya mambo yanayoweza kumfanya mtu aanayeishi nje kiasi ajione yeye yuko sehemu nzuri kuliko sie

ouw! kumbe kuishi nje ni big deal regardles umefanikiwa au lah..kuna wanaojisikia hao...
 
Hivi watu wa Moshi mnalisemeaje hili? najua familia nyingi za huko kwenu zina watoto au ndugu wanaoishi nje, je maendeleo ya mkoa wenu yanachangiwaje na hawa diaspora?
Mamndenyi, Arushaone na wadae wengine mnaotoka huko, vipi nyie mnasemaje kwenye hili?
Naamini mkoa wa kilimanjaro umetoa diaspora wengi kuliko mkoa wa Kagera..
Ndiyo maana k'njaro wamefanikiwa zaidi..
copy kwa,
Ruttashobolwa na Bishanga..
 
Last edited by a moderator:
teseme kule wanakaa sababu ya starehe siyo kuwasaidia ndugu zao na jamii kwa ujumla? kuna haja ya madada zetu kuumiza kichwa ni vipi waende ulaya kwa hofu kwamba hapa bongo hamna mafanikio?. mia

mbona si tuko bongo na tunasaka mahela na mafanikio yetu.....
tatizo wanadhani huko kuna shortcut ya good life
 
ouw! kumbe kuishi nje ni big deal regardles umefanikiwa au lah..kuna wanaojisikia hao...

Inategemea ulifika nje kwa nia gani...kuna walioenda shule and so wana ishu zao na muda ukifika watarudi makwao, kuna waliokuwa ma beach baby (mara nyingi hawa ndio hawaeleweki kabisaaa). Hata kwenye kundi la pili la ma beach baby kuna wenye maisha yao na hawa mara nyingi ni mahardworker na hawakubweteka na hivyo hata kielimu wamejiendeleza, na wengine hawana dili lolote zaidi ya kula kebab na kunywa pombe.......wengine wamefanywa chombo cha starehe mf kuwa blow job wazungu, sex worker n.k wengine ni basi tu ikifika holiday time ndio atajikokiiii ili afanye mashauzi bongo......
 
mbona si tuko bongo na tunasaka mahela na mafanikio yetu.....
tatizo wanadhani huko kuna shortcut ya good life

we unajicompare vipi na mdada wakitanzania anayeishi U.S.A, U.k au any developed country..unaweza kufeel any superiority mbele yao? Hebu soma maelezo ya Mrembo by Nature hapo juu afu useme kitu
 
Last edited by a moderator:
Inategemea ulifika nje kwa nia gani...kuna walioenda shule and so wana ishu zao na muda ukifika watarudi makwao, kuna waliokuwa ma beach baby (mara nyingi hawa ndio hawaeleweki kabisaaa). Hata kwenye kundi la pili la ma beach baby kuna wenye maisha yao na hawa mara nyingi ni mahardworker na hawakubweteka na hivyo hata kielimu wamejiendeleza, na wengine hawana dili lolote zaidi ya kula kebab na kunywa pombe.......wengine wamefanywa chombo cha starehe mf kuwa blow job wazungu, sex worker n.k wengine ni basi tu ikifika holiday time ndio atajikokiiii ili afanye mashauzi bongo......

hao wakuja kufanya mashauzi bongo hao...wakija ndyo wanarudi tena?
 
Kwanini mtu afikie kufeel superior ukiwa bado ni tegemezi kwa mume ambaye ni pensioner au unafanya kazi zaidi ya moja kumake the end meet, shahada ya kueleweka pia huna au tu kwasababu unaishi nje?


Kwa mtu mshamva labda ni sawa lakini kuishi nje si hoja kama huna achievement ya maana and fyi good life is not in UK n US

eti MadameX kwenye kazi zaidi ya moja unamaanisha nini........
 
Last edited by a moderator:
we unajicompare vipi na mdada wakitanzania anayeishi U.S.A, U.k au any developed country..unaweza kufeel any superiority mbele yao? Hebu soma maelezo ya Mrembo by Nature hapo juu afu useme kitu
Sandeni sio naweza kufeel any superiority hapa nilipo am feeling that superiority
ko mtu anakaa gheto,anafanyishwa mapenzi na mbwa,au kazi yake kubebeshwa madawa ya kulevya
bt kwa sababu yuko uesiei ndo niwe inferior kwake
 
Last edited by a moderator:
hao wakuja kufanya mashauzi bongo hao...wakija ndyo wanarudi tena?

Wengi wao kuishi bongo inakuwa ngumu kwani walishaapigwa gepu la maisha, utakuta walisha immitate maisha ya wazungu kiasi kwamba wanajiona hawafit tena kwenye maisha yetu ya kibongo...., mmama ana talaka 9 na yuko ndoa ya 10 mchezo? wengine hata familia hawana, hata kibanda tu cha mlinzi hawana, so wanaishia kuja bongo kulala serena kwa wiki moja then haooooo wanarudi umangani.

Kwangu mimi naamini kuna watu bongo wameyawin maisha na wanatia hamasa...,,pia kuna watu majuu maisha yamewapiga teke, wapo pia ambao wamepatia maisha huko huko majuu hasa kama ni wafanya kazi kwa bidii.....haina maana kujiona superior eti tu kisa unaishi USA , swala ni je umepiga hatua kiasi gani?au kupaka mkorogo na kuposti picha facebook waone ukikatiza mitaa huko majuu ndio mwisho wa mafanikio yako??
 
Sandeni sio naweza kufeel any superiority hapa nilipo am feeling that superiority
ko mtu anakaa gheto,anafanyishwa mapenzi na mbwa,au kazi yake kubebeshwa madawa ya kulevya
bt kwa sababu yuko uesiei ndo niwe inferior kwake

huwezi jua anachofanya..but i wish kama mmoja hapa angejieleza..
 
Last edited by a moderator:
Wakuu, Labda tuwaclassify:- kwani wapo waloondoka kimoja wapo watakaorudi wapo maTX wapo wenye malengo maalum, nk.
Kuna mmoja alikwenda kwa malengo na akayatimiza mbona amerudi na kafungua mradi mzuri na ameemploy
karibu waTz 85 wapo ktk. Payroll, Lakini ukimuona yuko safi haonyeshi uSuperiority.
Wish them success and look behind too!!
 
Wengi wao kuishi bongo inakuwa ngumu kwani walishaapigwa gepu la maisha, utakuta walisha immitate maisha ya wazungu kiasi kwamba wanajiona hawafit tena kwenye maisha yetu ya kibongo...., mmama ana talaka 9 na yuko ndoa ya 10 mchezo? wengine hata familia hawana, hata kibanda tu cha mlinzi hawana, so wanaishia kuja bongo kulala serena kwa wiki moja then haooooo wanarudi umangani.

Kwangu mimi naamini kuna watu bongo wameyawin maisha na wanatia hamasa...,,pia kuna watu majuu maisha yamewapiga teke, wapo pia ambao wamepatia maisha huko huko majuu hasa kama ni wafanya kazi kwa bidii.....haina maana kujiona superior eti tu kisa unaishi USA , swala ni je umepiga hatua kiasi gani?au kupaka mkorogo na kuposti picha facebook waone ukikatiza mitaa huko majuu ndio mwisho wa mafanikio yako??

hapo kuna point kubwa...kujiona superior kwa sababu unaishi nje ni ulimbukeni..hii waipate wazawa wote wakibongo wanaojiona hivyo..
 
Wakuu, Labda tuwaclassify:- kwani wapo waloondoka kimoja wapo watakaorudi wapo maTX wapo wenye malengo maalum, nk.
Kuna mmoja alikwenda kwa malengo na akayatimiza mbona amerudi na kafungua mradi mzuri na ameemploy
karibu waTz 85 wapo ktk. Payroll, Lakini ukimuona yuko safi haonyeshi uSuperiority.
Wish them success and look behind too!!

huyu safi sana! na inafurahisha kusikia maendeleo mazuri kiasi hiki..
kuna kina mange bana..what do they brought? na ndiyo wanaoongoza kujifil
 
Call me whatever you like, I DO think that being in diaspora IS a sign of success. Or at the very least, a door to success. Think of ALL the obstacles one has to overcome just to be here. Emotional, physical, mental.....etc, sio mchezo. Then think of all the exposure one gets by living in such advanced countries, all the opportunities available to better yourself. One grows up and matures ten times faster than an agemate back home. There is absolutely no comparison between someone living in Bongo and one living in this place. Of course it has its disadvantages but these pale when put next to the advantages. Of course, lots of it has to do with one's personality and character. Coz as they say, you can take a cow to the river but you can't force it to drink. Those who leave this place just the way they came, with nothing to be proud of for it, or even worse, are at a great great loss.
 
baadhi wakienda wanazisaidia familia zao,lakini wengine wakienda familia inapata sifa tu tuna mtoto wetu ulaya basi,ninachoamini mimi maisha ni popote mtu akiona kule panamfaa hakuna neno........ila taifa kama taifa kutegemea maendeleo kutoka kwa hao ndugu zetu bado sana.mia

ningependa kujua kama kweli kuna haja ya dada zetu wa bongo kuota wanaenda ulaya. Sababu mimi naamin ukikaza hapahapa bongo unaweza kufanikiwa. hata ukienda ulaya usipo kaza utaishia kujiuza. mia
 
huo uzalendo wa kuinufaisha nchi inayowanyanyasa the like of Dr. Masau watoke wapi?

nawaunga mkono kujilipua(kuchukua uraia)

mkuu kujivua uraia sio kujivua undugu. je wakiwa huko wanapata wazo la kusema kuna ndugu zangu wamebaki Tanzania. Nasikia wengine wakienda wanapotea kiasi kwamba hata ukiwatumia email au msg hawajibu. Yaani akishakanyaga ulaya hata kama hana hela anajiita billionea, akikaa mwaka akirudi anajifanya kasahau kiswahili kwa kujikosesha maneno. mia
 
Back
Top Bottom