Mchango wa diaspora wa kike katika jamii ya kitanzania...

Mchango wa diaspora wa kike katika jamii ya kitanzania...

ngoja nikacheki numbers nije kujibu kwa uhakika. Ila hawa wabeba maboxi wanatusaidia kuliko aid. Remittances ndio 2nd after FDI. Shukurani zangu za dhati ziwaendee kina Nyani Ngabu et al kwa kutusaidia kwa zaidi ya 3B$/annum

My friend, the pittance I earn working at a nursing home wiping asses is just a drop in the bucket!

Nevertheless, thanks for your gratitude.
 

maendeleo ni juhudi binafsi za mtu
kukaa nje haimaanishi kwamba ndio mtu ana
maendeleo,unaweza kaa nje na bado ukawa
choka mbaya tu kuliko hata waliopo tz,so juhudi na malengo
ndio siri ya mafanikio,na si kuishi nje!!! figganigga umenisoma!!mia
 
Last edited by a moderator:

maendeleo ni juhudi binafsi za mtu
kukaa nje haimaanishi kwamba ndio mtu ana
maendeleo,unaweza kaa nje na bado ukawa
choka mbaya tu kuliko hata waliopo tz,so juhudi na malengo
ndio siri ya mafanikio,na si kuishi nje!!! figganigga umenisoma!!mia

kuna copy ya mumeo hapa..naona kaichunia..mzee Ruttashobolwa
 
Last edited by a moderator:

maendeleo ni juhudi binafsi za mtu
kukaa nje haimaanishi kwamba ndio mtu ana
maendeleo,unaweza kaa nje na bado ukawa
choka mbaya tu kuliko hata waliopo tz,so juhudi na malengo
ndio siri ya mafanikio,na si kuishi nje!!! figganigga umenisoma!!mia

kuna copy ya mumeo hapa..naona kaichunia..mzee Ruttashobolwa
 
Last edited by a moderator:
mafanikio yako popote...cha msingi ni kujituma na kutumia kila fursa inayopatikana.wale wa UK na USA..wanafanya kaz na wanalipwa kwa kazi zao...na hata bongo pia wanawake wana maendleo pia...ni kujituma ktk kazi...na kutumia kila nafas inayopatkana

je kuna haja ya wao kujiona wapo juu kuliko walio waacha bongo land?. mia
 

maendeleo ni juhudi binafsi za mtu
kukaa nje haimaanishi kwamba ndio mtu ana
maendeleo,unaweza kaa nje na bado ukawa
choka mbaya tu kuliko hata waliopo tz,so juhudi na malengo
ndio siri ya mafanikio,na si kuishi nje!!! figganigga umenisoma!!mia

nmekumsoma mkurugenzi. je kuishi kwao nje kunawaongezea thamani kuliko waliopo nchini? mia
 
Last edited by a moderator:
nmekumsoma mkurugenzi. je kuishi kwao nje kunawaongezea thamani kuliko waliopo nchini? mia

thamani wapi?!!hakunaga
na siku zote heshima pesa shkamoo makelele!!
akiwa na mshiko thamani inaongeza,kama ilivyo
kwa wa tz wengine,nje kitu gani bana!!

 
It damn sure is.

so..we unawazungumziaje ma diaspora wa kike? kuna ambao wanataka kuja kugombea ubunge, je, exprience walio ipata kwa kuishi nje ya nchi itawachochea wao kuwapigania raia watakao wachagua?
 

we Sandeni umeanza lini
kufukunyua ndoa za watu?mi
na huby wangu Ruttashobolwa tuko poa!!

sijafanya ufukunyuku..btw, nilisema kuwa mkoa wa k'njaro unamaendeleo mazuri kuliko mkoa wa kagera in all aspects of life..afu nikasema familia nyingi za watu wakule wanandugu au watoto wao wanaoishi ulaya na marekani! je, do u think na wao wananafasi katika maendeleo yaliyopo huko?
 
Last edited by a moderator:
so..we unawazungumziaje ma diaspora wa kike? kuna ambao wanataka kuja kugombea ubunge, je, exprience walio ipata kwa kuishi nje ya nchi itawachochea wao kuwapigania raia watakao wachagua?

Sina maoni yoyote juu yao.
 
Back
Top Bottom