Mchango wa diaspora wa kike katika jamii ya kitanzania...

Mchango wa diaspora wa kike katika jamii ya kitanzania...

hivi kukaa nje ni kufanikiwa kweli,
sijawahi kuona aliyetoka nje na mafanikio
nimepata hasira kidogo niwataje kwa majina aliobobea nje lakini wako vile vile.
 
Wanajenga, wanawasomesha madogo, wanavuta ndugu/jamaa zao etc.
 
Naomba nami nitoe mchango wangu kwenye mada hii japo umepoint baadhi tu ya watu wawe washirika wakuu, mimi naomba niwe mshirika wa kawaida. Mtoa mada umezungumzia mchango wa wadada wanaoishi u.k na u.s.a na kujiona kwao masuperior. Mimi naona usuperior ni tabia ya wanawake/ wadada hasa anapokua amefanya jambo ambalo mwenzake hawezi kufanya au bado hajafanya. Chukulia mfano wa wadada wanaotokea mikoani wakaja DSM huwakoga sana wenzao ambao bado hawajafika dar tena wengine warudipo vijijini kwao hujifanya hata kilugha wamesahau na kuongea kiswahili tu tena kile cha mtaani na si fasaha.

Kwa mtazamo wangu wadada wanaoishi nje ya nchi wana mchango mkubwa sana nchini kwetu. Wengi wao wanasaidia sana ndugu zao na kwa bahati mbaya baadhi ya ndugu wanamissuse hiyo misaada. Kumbuka mwanamke huwa hasau kwao hata kama anashida kiasi gani lazima atasaidia wakwao.

Mimi hii naichukulia in a positive way ni kweli kuna baadhi ya wadada wanafanya kazi mbili mbili kama ambavyo huwa tunasikia lkn hii yote ni kwa sababu nyumbani kwao wanamtegemea karibu ukoo mzima na wengi tunaamini mtu akienda ulaya basi huyo atakua anapesa ie tunaamini wazungu wote anaosalimiana nao basi humkesh hii ni myth iliyozoeleka huku kwetu. Kuna wachangiaji wanasema pengine wengine kazi yao ni kuzoa kinyesi cha wazungu , mimi nadhani kazi ni shughuli yoyote halali inayomuwezesha mtu kuwa na kipato. Hii ni dharau tu, ambayo sijui tunaitoa wapi. Si wote wnazoa kinyesi wapo wengi wanafanya kazi nzuri tu.

Sasa ile hali ya kujikweza na nini ni tabia ya mtu . Mtu huyo hata angeishi China bado angejikweza tumewaona wagnapi wameenda china na wanajiona superior. Ile hali ya wadada wengi kusema watu wengine wanaenda ulaya kulala na mbwa hii ni kashfa hakuna kitu kama hicho jamani. Binafsi napenda kuwa positive in everything, wala kuishi ulaya sio mafanikio/kushindwa la hasha mafanikio popote japo ulaya kuna opportunities nyingi .

Nisiwachoshe naconlude kwamba madiaspora wanachangia pato la taifa kwani ukielimisha m/ke mmoja umeelimisha taifa. Niombe radhi kama utajisikia nimekukwaza mpendwa. Natoa rai jamani tutoke twende na nchi za wenzetu tuone wanishije ili tuepuke kuamini myth.

na kweli ni dharau mbona tanzania waudumu wa afya tunazoa sana hayo mavi hamsemi,kwasababu yuko nje ya nchi akizoa mavi ndo si halali,kazi ni kazi ilimradi ukiuki maadili ya mwenyezi mungu
 
nilichomaanisha ni kuwa mkiendaga mandenyi mnafanya show ya bia kama kawa. nunulia kila mtu vitochi na nini. ila mkirudi daslamu mnaombwa ada na mliowapiga ofa. hawajui umesave na unaenda kula bataz na mzee wako awe proud, wanadhani unaishi maisha ya kula bataz kila siku. kumbe ukirudi daslamu ni bia za mawazo mtindo mmoja!:heh:
King'asti kwani kule Mamndenyi kuna kitu chochote basi
au ni mbwembwe zao tu.
 
nilichomaanisha ni kuwa mkiendaga mandenyi mnafanya show ya bia kama kawa. nunulia kila mtu vitochi na nini. ila mkirudi daslamu mnaombwa ada na mliowapiga ofa. hawajui umesave na unaenda kula bataz na mzee wako awe proud, wanadhani unaishi maisha ya kula bataz kila siku. kumbe ukirudi daslamu ni bia za mawazo mtindo mmoja!:heh:

hii ni kweli kabisa
 
huko Mamndenyi wanafuata tu mbuzi za wazee walizofuga mwaka mzima
wanachinja eti wanafanya tambiko, wananunua na bia kutoka ken
wanasema ni bei rahisi wanakula na kunywa siku ya tatu hao wanatimua
kwanza wanakuwa na nauli tu hata hela yenyewe kwani wanakuwa nayo basi.

nilichomaanisha ni kuwa mkiendaga mandenyi mnafanya show ya bia kama kawa. nunulia kila mtu vitochi na nini. ila mkirudi daslamu mnaombwa ada na mliowapiga ofa. hawajui umesave na unaenda kula bataz na mzee wako awe proud, wanadhani unaishi maisha ya kula bataz kila siku. kumbe ukirudi daslamu ni bia za mawazo mtindo mmoja!:heh:
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: LD
aaah wapi..!! vibaka wapo sana, msitembelee miji mikubwa tu kuna miji mingine ukienda.... Jamani.. Jamani utasema bora hata ya mkaa mbagala mara elfu.

Msishangae kwanini walioko nchi za ulaya na kwingineko wanashindwa kuwasaidia ndugu zao?

Jamani wengine wanapokuwa huko wanapata hela ya kula tu ilimradi siku isogee wakirudi makwao mbwembwe nyingii..

kama ulinisoma vizuri nimesema si kama ilivyo Tanzania.....hata kama watawepo at least security ni kubwa compared na tz.....
 
FP kivyangu siuoni pengine mzee wa mia anauona
au mke ya mzungu akija hapa atasema neno.

Najiuliza mtu unajiona superior sababu unaishi nje ya nchi au sababu unategemewa?
labda sijaelewa hapa u-superior unaozungumziwa ni kwa sababu gani kati ya hizo 2....
labda King'asti, Mamndenyi na Ablessed mnisaidie kwanza
 
Last edited by a moderator:
saa zingine mtu anakuona superior na kwa sababu anajisikia inferior mwenyewe. ni attitude tu bwana. mie hata niwe tandahimba, im just me. siko superior wala inferior, i am me and i am occupying my space!
kuna mtu humu nilimuambia niko busy kidogo nna kazi naiandaa before dashing off kwa holiday, akanijibu ati naact boss lady. i was like huhhhh:suspicious:

Najiuliza mtu unajiona superior sababu unaishi nje ya nchi au sababu unategemewa?
labda sijaelewa hapa u-superior unaozungumziwa ni kwa sababu gani kati ya hizo 2....
labda King'asti, Mamndenyi na Ablessed mnisaidie kwanza
 
Source yangu ni the little book of financial numbers publicized by the world bank. but as I said nitacheki tena and revert.
Najua Mh. Zitto Kabwe nae aliandika on it. Leo jioni nikiwa home nacheki na naleta data. It could be more...
The money goes directly to individuals and most of them use it for education and health.

Hiyo figure ina ukweli?

Mbona Western Union wanasema outbound zipo nyingi kuliko inbound lol
 
saa zingine mtu anakuona superior na kwa sababu anajisikia inferior mwenyewe. ni attitude tu bwana. mie hata niwe tandahimba, im just me. siko superior wala inferior, i am me and i am occupying my space!
kuna mtu humu nilimuambia niko busy kidogo nna kazi naiandaa before dashing off kwa holiday, akanijibu ati naact boss lady. i was like huhhhh:suspicious:
ha haaaaa, umenikumbusha kitu......
kuna siku moja nikiwa kijijini kukawa na msiba, basi tukaenda makaburini kuzika. tulipomaliza mazishi, nikamwomba mama anionyeshe kaburi la rafiki yangu alifariki sikuwepo, alifariki zamani saaana, na yaani alikuwa rafiki wa primary, na hapo ilikuwa imepita miaka mingi. basi tukiwa kwenye kaburi, niliona tu machozi yananitoka saaaana nikaanza kulia. ghafla akatokea mama wa huyo rafiki yangu, kumbe naye alikuja kwenye mazishi yale tuliyohudhuria, ila sikumwona. yule mama alilia sana, siyo sababu ya uchungu wa mwanaye, bali kwa jinis nilivyojali na kwenda kumlilia mwanaye, aliniambia hakutegemea kunikuta pale na tena nalia....
ndo hayo unayosema, wewe unaweza ukajiona ni wa kawaida, kumbe wenzio wameshakuweka kwenye level nyingine
 
na kweli ni dharau mbona tanzania waudumu wa afya tunazoa sana hayo mavi hamsemi,kwasababu yuko nje ya nchi akizoa mavi ndo si halali,kazi ni kazi ilimradi ukiuki maadili ya mwenyezi mungu

aisee...
 
Back
Top Bottom