Kapetibovu
Member
- May 2, 2020
- 60
- 58
Wakuu,
Nimekamilisha hatua zote za kufunga ndoa na mke wangu mtarajiwa na tarehe imeshapangwa ni suala la mda tu.
Katika mwingiliano wa maisha nimempata binti wa kipogoro (Mpogoro).
Nasaha, uzoefu na ushauli wenu wana JF ni muhimu sana katika kuelekea jambo hili:-
Shukrani.
Nimekamilisha hatua zote za kufunga ndoa na mke wangu mtarajiwa na tarehe imeshapangwa ni suala la mda tu.
Katika mwingiliano wa maisha nimempata binti wa kipogoro (Mpogoro).
Nasaha, uzoefu na ushauli wenu wana JF ni muhimu sana katika kuelekea jambo hili:-
Shukrani.