Mchango wa mawazo kutoka kwa wadau nataka kufunga ndoa

Mchango wa mawazo kutoka kwa wadau nataka kufunga ndoa

Siku akikunyima mchezo usijisikie vibaya. Na kuwa makini endapo uvumilivu ukikushinda kama umenyimwa, usimuadhibu kwa kugonga nje. Huko nje unaweza gonga na kubambikwa mtoto au maradhi.

Na ukibambikwa mtoto hakikisha ni wako na kama ni wako jiandae kisaikolojia na matunzo ya mwanao. Ila cha msingi mvimiliane hakuna mkamilifu yaani nasisitiza hakuna mkamilifu, mkamilifu ni uvumilivu pekee. Ahsante
 
Wewe usitutafute lawama na shemeji bhana, yani unakuja kuomba mawazo wakati tayari mnaelekea kufunga ndoa, tukishauri ikaonekana tumeshauri vibaya shemeji atuone wanafiki!!!

Oa tu mkuu kila mtu ana mapungufu.
 
Siku akikunyima mchezo usijisikie vibaya. Na kuwa makini endapo uvumilivu ukikushinda kama umenyimwa, usimuadhibu kwa kugonga nje. Huko nje unaweza gonga na kubambikwa mtoto au maradhi.

Na ukibambikwa mtoto hakikisha ni wako na kama ni wako jiandae kisaikolojia na matunzo ya mwanao. Ila cha msingi mvimiliane hakuna mkamilifu yaani nasisitiza hakuna mkamilifu, mkamilifu ni uvumilivu pekee. Ahsante
Ahsante sana mkuu Nimekuelewa.
 
Wewe usitutafute lawama na shemeji bhana, yani unakuja kuomba mawazo wakati tayari mnaelekea kufunga ndoa, tukishauri ikaonekana tumeshauri vibaya shemeji atuone wanafiki!!!

Oa tu mkuu kila mtu ana mapungufu.
Ha ha ha asante sana Mkuu.
 
Yaan unataka kuoa unaomba ushauri, kwahiyo tukikwambia ' kama ni mpogoro piga chini, ni washirikina, wanapenda sana kutoa kafara, je utampiga chini? Eti mleta uzi?
 
Yaan unataka kuoa unaomba ushauri, kwahiyo tukikwambia ' kama ni mpogoro piga chini, ni washirikina, wanapenda sana kutoa kafara, je utampiga chini? Eti mleta uzi?
Mkuu Diana Spencer ushirikina ni tabia ya mtu na si kabila kwa hiyo siwezi kupiga chini kwa ushauri kama huo, kasumba na dhana ni kitu kimoja hutofauti wake ni ukubwa.
Mfano wa kasumba ni kuambiwa wanyakyusa wanakula nyama ya watu na ukaamini bila kuthibitisha.
Dhana ni ndogo mf. Ukimpigia mpenzi wako asipokea simu rafiki yako akikuambia yupo na mchepuko basi iyo ni dhana yake.
Basi hiyo ni kasumba yako umejengewa na unadhani ni kweli wapogoro wote ni wachawi.
Ahsante.
 
Mkuu Diana Spencer ushirikina ni tabia ya mtu na si kabila kwa hiyo siwezi kupiga chini kwa ushauri kama huo, kasumba na dhana ni kitu kimoja hutofauti wake ni ukubwa.
Mfano wa kasumba ni kuambiwa wanyakyusa wanakula nyama ya watu na ukaamini bila kuthibitisha.
Dhana ni ndogo mf. Ukimpigia mpenzi wako asipokea simu rafiki yako akikuambia yupo na mchepuko basi iyo ni dhana yake.
Basi hiyo ni kasumba yako umejengewa na unadhani ni kweli wapogoro wote ni wachawi.
Ahsante.
Jibu safi kabisaaaa✔
 
Back
Top Bottom