Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,529
Limesambazwa kwenye vituo mbalimbali vya radio
Kwani si la airtel lilee lazima ueke ukiingia nao mkataba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Limesambazwa kwenye vituo mbalimbali vya radio
Hyo ni tafsiri ya brain tu, hata pili pili kuna baadhi ya watu wazma wameshindwa kuila lkn wengine wanaipenda. Au kati ya Papuchi, Tigo na Mkono ipi tamu? Itategemea na ubongo wako unatafsiri vp. Wabongo tunapenda sana vitu vya gizani, mkiwekewa peupe mnasema maadili, ndo maana hata wazaz wanashindwa kuwapa elimu ya mahusiano watoto wao wakiogopa lugha za kuongea nao, na ndio maana vbinti vnagongwa hovyo. Mzaz wa bongo mwambie, baba huyu ni bf wangu uone moto. Matokeo yake watoto wamekua wanahaha kutafuta wasamalia wema ili wawagegede japo kidogo. Ndo maana ukimwi afrika kuisha itakua ndoto maana akiri zetu zinawaza negative muda wote, na cku hz kila neno limeanza kuwa tusi. Nyuma, mbele, katikati, chini, haya yote ni matusi nowdays. Tukuumbuke kuwa mficha maradhi kifo kitamuumbuaMatangazo ya kibongo shida tupu, inakuwaje mwanaume asifiwe kawa mtamu?
Mtamu anajulikana ni mtu wa namna gani! Kwa kawaida chakula na wanawake ndio husifiwa kwa utamu, haya ni mazoea ya kiasili sasa inakuwaje leo mwanaume asifiwe kawa mtamu??
Kwa wenye tangazo wanaona kama wamefanikiwa sana lakini kiuhalisia ni matusi kwa jinsia ya kiumeni! Na matangazo ya namna hii yapo mengi sana bongo
Hyo ni tafsiri ya brain tu, hata pili pili kuna baadhi ya watu wazma wameshindwa kuila lkn wengine wanaipenda. Au kati ya Papuchi, Tigo na Mkono ipi tamu? Itategemea na ubongo wako unatafsiri vp. Wabongo tunapenda sana vitu vya gizani, mkiwekewa peupe mnasema maadili, ndo maana hata wazaz wanashindwa kuwapa elimu ya mahusiano watoto wao wakiogopa lugha za kuongea nao, na ndio maana vbinti vnagongwa hovyo. Mzaz wa bongo mwambie, baba huyu ni bf wangu uone moto. Matokeo yake watoto wamekua wanahaha kutafuta wasamalia wema ili wawagegede japo kidogo. Ndo maana ukimwi afrika kuisha itakua ndoto maana akiri zetu zinawaza negative muda wote, na cku hz kila neno limeanza kuwa tusi. Nyuma, mbele, katikati, chini, haya yote ni matusi nowdays. Tukuumbuke kuwa mficha maradhi kifo kitamuumbua
Lakini kumbuka hao wazungu tunaowasifu kwa uwazi ndio wapuuzi kupitiliza! Kwa wale ambao wameishi hizo nchi za ughaibuni watanielewa ninachokiongea
anapnekana mtamu laini laini mashalllaaaaaaaaaaaaahhhhata wewe mtamu mkuu
Ni shida tupu. Mcharo kawa mtamu halafu mke wake kila siku anapika nyama baada ya kupata mkopo wa Airtel Money. Inaonyesha ni jinsi gani Mcharo alivyokuwa mjinga. Yaani anachukua mkopo halafu wote unaishia kwenye nyama. Tangazo halina uhalisia.
Mkuu inabidi na wewe Tukutafutie hata Promo Humu JF Mshana Jr kawa Mtamu.[emoji2] [emoji56] maana Co Kutajwa Huku Mpaka Nyani Ngabu kupigwa BaN[emoji724] .Matangazo ya kibongo shida tupu, inakuwaje mwanaume asifiwe kawa mtamu?
Mtamu anajulikana ni mtu wa namna gani! Kwa kawaida chakula na wanawake ndio husifiwa kwa utamu, haya ni mazoea ya kiasili sasa inakuwaje leo mwanaume asifiwe kawa mtamu??
Kwa wenye tangazo wanaona kama wamefanikiwa sana lakini kiuhalisia ni matusi kwa jinsia ya kiumeni! Na matangazo ya namna hii yapo mengi sana bongo
Mcharo Nimeshahama Kwenye Nyumba Za Kupanga Sasa Hivi Nipo Kwenye Mjengo wa [emoji709] Hakatwi Mtu Hapa[emoji772] [emoji777] .[emoji1]Mcharoo kaenda wap sijui
[emoji205] [emoji205] [emoji205] [emoji205] [emoji205] [emoji102] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]Ni shida tupu. Mcharo kawa mtamu halafu mke wake kila siku anapika nyama baada ya kupata mkopo wa Airtel Money. Inaonyesha ni jinsi gani Mcharo alivyokuwa mjinga. Yaani anachukua mkopo halafu wote unaishia kwenye nyama. Tangazo halina uhalisia.