Mchawi kazi yake ni kuroga urudi nyuma, jilinde

Mchawi kazi yake ni kuroga urudi nyuma, jilinde

Wewe jamaa ni mjinga sana. In short ni bogus sana. Hii thinking ni ya mtu medieval sana. Kama hujaiacha in 2021, utaendelea kuwalaumu watu kwa failures zako in so many years to come.
Sawa usijari!
Unaweza kuwa na biashara Fulani sawa sawa na mtu X...

Wewe ukawa mchapakazi Sana Tena mwenye Hofu ya Mungu ..

Lakini mfanyabiashara X akawa na mtaji wa kawaida Sana Tena Sana.. rakini baada ya muda unashangaa anakupiga gape. Hapo huwa Kuna Siri! Ila Wengi hawataki kusema na wanaficha, Hakuna motivation speaker anaezungumzia kuhusu chuma ulete wao wanaamini katika pay yourself first ya the richest man in the Babylon....

Usione utajiri wa Mo ukajua Ni kurithi tu, ukiacha Mali Kuna vitu vingi sana amerithi...

So wewe Kama mfanyabiashara au mfanyakazi lazima uwe na akili ya kuchangamka...


Nina ndugu yangu Ana hardware zaidi za 10 dar es salaam.
Na migodi shinyanga, Ana mashamba mengi sana...

Ila kila mwaka lazima aende kwa wataalamu kujitapishwa dawa za limbwata anazopewa na wake zake guess what???

Wewe na ukapuku wako bado unamwamini mwanamke!!!!

Uchawi upo hasa wa kurudishana nyuma...

Nakupa my experience!
Nilikuwa na tabia ya kutumi fedha hovyo na pesa yangu huwa inapotea bila kuacha impact yoyote...

Nilijitahidi kusoma Sana vitabu na kubadilisha tabia lakini wapi kitabu Kama... The richest man in the Babylon... Poor Dad rich dad... The mirrioner in the next door na The money formula!!!

Bila manufaaa... Ila baada ya kwenda kwa mtaalamu kujisafisha nilibaini kuwa... Kuna ndugu zangu wanaamini Mimi nitakuja kuwa faraja kwa mzazi wangu

Kwaiyo wkaamua kuweka mazingira kuwa hela yangu isiwe na mchango wowote kwangu na kwa mama Yangu....

Nilikuwa sivai vizuri, sinywi pombe Sina makundi na makundi na hela sina...

Nakupa Siri, huwa Kuna mashetani wao kuja wakati una pesa kukushawishi kwa matumizi yasio na mbele Wala nyuma...

Hii Siri huwezi kusikika kwa mfanyabiashara Au motivation speaker yoyote..

Mwisho#
Miti imeubwa na Mungu Kama Tiba... Tumieni mitishamba...

Mfano baada ya kuweka au kulaza gari lako car parking kwa Malipo Kuna dawa ya mti Shamba unaweka kwenye gari. Au pikipiki

Mwizi akija wewe una amua afe baada ya siku moja .. au akute jiwe kubwa.....

Huoni Nina reduce cost ya kulaza gari kwa kununua mti Shamba????

Mwisho [emoji
 
Asili yetu ipi? asili ya binadamu kama ilivyo kwa viumbe vingine ni moja tu.............ni uumbaji wa Mungu Mwenyezi.
Ila imani tofauti..halafu si nawewe uanzishe uzi wako wa masuala yako..sio kudakia nyuzi za watu..humu hakuna sadaka...acha watu wajadili imani za mababu zetu..wewe komaa na zakuletewa...nyie ndio makana asili yenu majina ya babu zako wakina mwakisulu unayakataa unataka uitwe joni..rubish kabisa hii.

Hata hao unao waamini hawakuacha tamaduni na mila za mababu zao..ndio mana hata kuzikwa lazima walikua wanazikwa na mababu zao..hata afie nchi ya mbali lazima mifupa irudishwe izikwe karibu na ukoo wake.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wewe jamaa ni mjinga sana. In short ni bogus sana. Hii thinking ni ya mtu medieval sana. Kama hujaiacha in 2021, utaendelea kuwalaumu watu kwa failures zako in so many years to come.
Bado mdogo sana haya mambo sio levo zako..endelea kula kwa shemeji...kwa ufadhili wa viuno vya dada.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu Extrovert sikatai hayo mambo kuwepo na huenda na mimi yameniathiri, ninachosema ni kwamba unatakiwa kumtegemea Mungu kwa hali yoyote ile. Kinyume cha hapo unakuwa unachanganya au kutegemea nguvu nyingine tofauti. Hakuna binadamu aliyetumika kwa viwango vya juu katika utumishi wa Mungu kama Mtume Paulo, lakini alikuwa na ugonjwa sugu mwilini mwake hadi kumwomba Mungu amponye lakini hakupona, alipozidi kuomba, Yesu akamwambia neema yangu yakutosha. Ndo maana katika maneno yake ameandika hivi "Nitajivunia udhaifu wangu ili uweza wa kristo ukae juu yangu, maana ninapokuwa dhaifu ndipo nilivyo na nguvu" ingekuwa sasa ungesema aende kutafuta mitishamba au waganga wa kienyeji......nilipotafakari kuhusu haya maneno ya Mtume Paulo alimaanisha kwamba pamoja na kwamba anaishi katika hali ya udhaifu wa mwili, lakini imani yake katika Mungu au nguvu zake za kiroho zinaongezeka siku baada ya siku. Ndo maana mahala pengine kaandika hivi "Japokuwa utu wangu wa nje unachakaa, bali utu wangu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku" haya ni maneno kutoka kwa mtu mwenye imani iliyovuka viwango vya kawaida vya kiimani.......​
Hivi kumbe mitishamba ni ya shetani?
 
Ila imani tofauti..halafu si nawewe uanzishe uzi wako wa masuala yako..sio kudakia nyuzi za watu..humu hakuna sadaka...acha watu wajadili imani za mababu zetu..wewe komaa na zakuletewa...nyie ndio makana asili yenu majina ya babu zako wakina mwakisulu unayakataa unataka uitwe joni..rubish kabisa hii.

Hata hao unao waamini hawakuacha tamaduni na mila za mababu zao..ndio mana hata kuzikwa lazima walikua wanazikwa na mababu zao..hata afie nchi ya mbali lazima mifupa irudishwe izikwe karibu na ukoo wake.

#MaendeleoHayanaChama
Imani ninayoongelea ni imani katika Mungu Mwenyezi muumba mbingu na nchi na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.......hizo imani za mababu weusi, wazungu, wahindi, wachina ambayo mnaita mizimu ni roho za kimiungu ambazo zinatafuta kuabudiwa. Mimi naongelea Mungu Mkuu (Almighty God) ambaye pia anajulikana kama Mungu wa Israel, siongelei miungu au mizimu...
 
Imani ninayoongelea ni imani katika Mungu Mwenyezi muumba mbingu na nchi na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.......hizo imani za mababu weusi, wazungu, wahindi, wachina ambayo mnaita mizimu ni roho za kimiungu ambazo zinatafuta kuabudiwa. Mimi naongelea Mungu Mkuu (Almighty God) ambaye pia anajulikana kama Mungu wa Israel, siongelei miungu au mizimu...
Brainwashed..unatusumbua tu humu..nenda kaanzishe uzi wako.

Just jaribu siku moja kua na akili think out of that rooster crook.

#MaendeleoHayanaChama
 
Unamlilia mungu yupi..wa wayahudi..wawazungu..wawaarabu..wawahindi..wawachina au wawaafrika?

Anyway kua na imani katika yote.

#MaendeleoHayanaChama
Alieniumba mm,akamuumba baba na mama yangu,akawaumba bibi na babu yangu.alieumba mbingu na ardhi,alieumba usiku na mchana.
Aliekuumba ww pia,na mama na baba yako.alieumba Tanzania na Afrika,Amerika Ulaya na dunia nzima.
Kama ni Mungu wa waafrika basi ni huyo huyo,kama atakuwa wa Waarabu basi ndie ninaemzungumzia.

Hata kama akiwa wa wazungu,wahindi or wayahudi its okay mm sina shida yeyote kati yake na mm ilimradi tu awe na sifa hizo nilizotaja hapo juu basi huyo ndie ninaemlilia hapa mkuu.
 
Kwa hiyo ukitumia mitishamba kufanya ulozi utakuwa unafanya kazi ya Mungu? acheni kupotosha watu uganga unatumia nguvu za giza....
Kumbe hata Nuhu alivyo tumia mitishamba kutengeneza safina alifanya ulozi pia?

Anyways Kuna mdau amesha kwambia Huu Uzi Ni maalumu Kwa watu wanao Amini katika uafrika wao, wewe ambae huamini katika asili ya mwafrika hata sijui unafanya Nini katika Uzi Huu usio kuhusu.

Please achana Na Huu Uzi Acha watu wafunguke ya moyoni
 
Kumbe hata Nuhu alivyo tumia mitishamba kutengeneza safina alifanya ulozi pia?

Anyways Kuna mdau amesha kwambia Huu Uzi Ni maalumu Kwa watu wanao Amini katika uafrika wao, wewe ambae huamini katika asili ya mwafrika hata sijui unafanya Nini katika Uzi Huu usio kuhusu.

Please achana Na Huu Uzi Acha watu wafunguke ya moyoni
Kwa hiyo kuamini katika uafrika ni kuamini katika ushirikina? mkuu tafuta watu wa kupotosha nafikiri unajua wazi kuwa huna mamlaka hayo ya kunihukumu katika imani yangu kwa Mungu Mkuu na kuwaeleza wengine kuhusu hilo, ni matarajio yangu kwamba hutakuja tena kunijibu kwa maneno yenye hila yaliyo na upotoshaji wa kishetani ndani yake......vinginevyo nitamwachia Mungu Mwenyezi ajibu kwa kadri ya mapenzi yake.
 
Back
Top Bottom