Critical thinking haimaanishi ufikirie sawa na wengine bro. Wanawake wanadai uhuru kutoka kwa watu wasiostahili, Mungu wao tayari ameshawapa uhuru siku moja pamoja na viumbe wengine. Hawahitaji huruma, msaada wala ruhusa za wanaume ili wawe wanachotaka kuwa kama vile wanaume wasivyohitaji ruhusa za wanawake ili wawe wanavyotaka kuwa. Makutano muhimu ya pekee ya mume n mke ni wakati wa kutafuta mimba baaasi. Mwanamke anaweza kuwa bondia, askari, rubani, msukuma mkokoteni, mwashi, mwindaji. nk kama mwanaume, ni yeye tu. Mim nikiwasikia wanalala majukwaani wanadai pedi za kike nacheka sana, viti maalumu, madawati ya kijisia, ukeketaji. Nk