Mchawi wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe, tuache kulaumu wanaume

Nadhani kuna vitabu vya dini vibadilishwe some verses kufikia huko. All in all kwenye family yafaa kila mtu afit kwenye nafasi yake, binafsi ntaruhusu aendelee kuhubiri feminism huko majukwaani kwao ila akifika mlangoni aingie kama partner, mama, mke na mlezi😊😊
 
Hata shida za waafrika zinasababishwa na Waafrika wenyewe. Mara ngapi tunaona viongozi wa Afrika wakiimba hela na kuzificha kwa wazungu, wanaingia mikataba feki, wanauza Twiga wazimawazima, wanauza kigamboni yote, Wana sera za honyo, nk.

Hata biashara ya utumwa ni machifu wetu waliowauza wasiowataka kwa tiptip
 
Kwahiyo unataka kusema kupitia uzi wako wanaume tunatakiwa kujaza mimba na kupita na hamsini zetu kama dume la simba
Madume ya binadamu tumejaaliwa akili kuliko madume ya Simba na wanyama wengine.
Kwa akili tulizojaaliwa, twaona umuhimu wa kutekeleza majukumu ya kulea familia yaani mke na watoto , tofauti na madume ya Simba maana huko majike ndo yameonekana Yana akili za kulea familia.
Sisi wanadamu madume, hatubebi haya majukumu kwa sababu wanawake hawayawezi, la hasha, Bali twafanya hayo kwa sababu ya nguvu ya upendo, iliyotuvuta na kutusukuma kuwafuata wanawake kuomba ridhaa ya kushirikiana nao katika ujenzi wa familia( hii Tena ni tofauti na madume ya Simba ambayo huyabaka tu majike kuyasababishia uja uzito, toka lini mbakaji hata awe binadamu huwa anatunza familia).
Ndiyo maana wanawake ambao hawakubahatika kupata wanaume wenye akili zaidi ya madume ya Simba Bado wanna uwezo wa kujipambania kwa ajili ya matunzo yao na watoto wait.
Hata hivyo wake zetu sisi wanaume wenye akili zaidi ya madume ya Simba, wana hiari ya kuendeleza mapambano ya kiuchumi, kisiasa na kijamii ila tu bado wanaweza kutunzwa hata wasipofanya hivyo na wakati wakiendelea na mapambano.
 
Ongeza SAUTI KIDOGO.
 
Wenzako wanashukuru siku hizi wakiolewa maana Hali mbaya wanataka hata waolewe wakiwa kumi
 
Wenzako wanashukuru siku hizi wakiolewa maana Hali mbaya wanataka hata waolewe wakiwa kumi
Kila kitu wanalia na wanaume, mara hawatupi matunzo, mara hawatupi Pedi, mara wametupa mimba, mara waache kutembea na makahaba ili wakose soko, mara tupeni viti maalum, nk nk nk. Kama uhuru wao ni lazima wapewe na wanaume basi hawataupata milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…