Mchekeshaji Eric Omondi akamatwa

Giggy anabore jamani anajikutaga sijui nani[emoji849][emoji849]
 
Wewe sio mtanzania ni mkenya...naona unampondea gigy.

#MaendeleoHayanaChama
 


Alishaachiwa
 
Inasemekana Eric alimtukana muheshimiwa mmoja mwenye nafasi yake, ndio maana anafanyiwa hivi ili kukomolewa. Waafrika ndio tulivyo, watu wanatumia vyeo vyao kukukomesha kwasababu binafsi.
 
Giggy nae ndani ya timu...

Wanawake wake juzi tu walitiwa ndani wote...
 
Kuna mtoto hapo kwenye Wife Material anaitwa Saymayah ni balaa....
 
Wanaume mnakwama wapi kuwaweka hao wife matiriozi ndani? watu na mishepu yao jamani kwanini msiwaoe?
 
Tatizo la gigy...Unapokulia uswahilini halafu ukakimbia na shule kwa kigezo cha kuitafuta fedha mapema...mambo ya kijinga kwako ni sifa ila wanojielewa wanakuona katuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…