FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Huna akili, mkiona mauzo ya chanjo yanasuasua ndio mnaanza, ooh wimbi la tatu..,Wimbi la tatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili, mkiona mauzo ya chanjo yanasuasua ndio mnaanza, ooh wimbi la tatu..,Wimbi la tatu
ALLAH ampe kauli thabiti siku ya ulmri kiamaInnalillah wain ilaih rajioun
Kwani huko chamazi hakuna makaburi?!Taarifa zinaeleza kwamba amefariki usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Muhimbili alikolazwa tangu tarehe 13 June
========
MWIGIZAJI wa Kikundi cha Maigizo cha Kashkashi kinachorusha mchezo wao wa kuchekesha wa Mizengwe kupitia Televisheni ya ITV, Jumanne Alela almaarufu Mzee Matata amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Juni 16, 2021 Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar alipokuwa amelazwa kwa matibabu toka Juni 13, 2021..
Kwa mujibu wa mwigizaji maarufu nchini, @madebelidai, mazishi ya Mzee Matata yatafanyika kesho kwenye Makaburi ya Buguruni,Malapa jijini Dar.
“Mwanatasnia mwenzetu Mzee Jumanne Alela (Mzee Matata) yatafanyika kesho saa saba mchana kwenye Makaburi ya Buguruni-Malapa.
“Msiba upo kwa ndugu zake, Chamazi kwa Mkongo (jijini Dar),” taarifa kutoka kwa @madebelidai.
Chanzo: Global Publishers
Yuko ndugu yangu kwake ni huko buza kwa mama kibonge , lakini alipofariki alizikwa makaburi ya Mburahati , kwa maelezo kwamba mama yake mzazi alizikwa kwenye makaburi hayo enzi hizo , kwahiyo kunakuwa na vijisababu fulani hivi visivyo na mashiko yoyote yale .Kwani huko chamazi hakuna makaburi?!
Ni kuwasumbua marehemu tuYuko ndugu yangu kwake ni huko buza kwa mama kibonge , lakini alipofariki alizikwa makaburi ya Mburahati , kwa maelezo kwamba mama yake mzazi alizikwa kwenye makaburi hayo enzi hizo , kwahiyo kunakuwa na vijisababu fulani hivi visivyo na mashiko yoyote yale .
mtani msuko ujao naomba nighalamie mimi, najua haizidi ELf.50 😎👇Dah...so sad...walikua wameclick sana aise