Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
RIP Mzee Matata
Ila mwambie Mkwere aache kufanya maigizo kwenye msiba wa mwenzake, unawezaje kuwa unalia halafu unajirekodi, huo muda wa kuwaza camera kwenye uchungu unaupata wapi?
Ila mwambie Mkwere aache kufanya maigizo kwenye msiba wa mwenzake, unawezaje kuwa unalia halafu unajirekodi, huo muda wa kuwaza camera kwenye uchungu unaupata wapi?