macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Nguruwe aliyesema kuwa ni best comeadian in East Africa siyo!🤣 🤣 🤣 🤣 🤣. Mnacheza na comedy ninyi. Industry ya acting Bongo bado sana na wenye upeo finyu tu ndiyo wanaofurahia. Kwenye kundi la mashabiki wake utakuta ma-bar maid, ma-house girls, waendesha boda boda.... you name it....kumbe ulilijua hilo eeeh, ndo maana katika uzi huu nguruwe amekuwa mmoja tu ...