Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unafikiri kila mtu ni mpuuzi kama wew kulazimisha wote tupende unavyopenda wew?Du vichekesho au maigizo ya Bongo kwa ujumla ni pasua kichwa. Hivi kuna watu wanakaa kabisa mbele ya TV kuangalia upuuzi huu?
Extrovert ndio hivyo tena, na sisi tukung'ute miguuDah huyu mzee na Sumaku ndio wanaivana sana katika kuigiza dah nilikuwa nainjoy sana vituko vyake
Nadhan mzee alikuwa kwenye tiba ya KISUKARI pia nishawah kukutana nae TEMEKE HOSPITAL kipindi nampeleka mama yangu kliniki ya KISUKARI naye nikamkuta kwenye foleni
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Enabana dah!!!!Taarifa zinaeleza kwamba amefariki usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Muhimbili alikolazwa tangu tarehe 13 June
========
MWIGIZAJI wa Kikundi cha Maigizo cha Kashkashi kinachorusha mchezo wao wa kuchekesha wa Mizengwe kupitia Televisheni ya ITV, Jumanne Alela almaarufu Mzee Matata amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Juni 16, 2021 Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar alipokuwa amelazwa kwa matibabu toka Juni 13, 2021..
Kwa mujibu wa mwigizaji maarufu nchini, @madebelidai, mazishi ya Mzee Matata yatafanyika kesho kwenye Makaburi ya Buguruni,Malapa jijini Dar.
“Mwanatasnia mwenzetu Mzee Jumanne Alela (Mzee Matata) yatafanyika kesho saa saba mchana kwenye Makaburi ya Buguruni-Malapa.
“Msiba upo kwa ndugu zake, Chamazi kwa Mkongo (jijini Dar),” taarifa kutoka kwa @madebelidai.
Chanzo: Global Publishers
"You can make talent professional, but you can't make professional talent". Mizengwe ni kundi Bora la comedy kuwahi tokea hapa Bongo na East Africa. R.I.P Mzee wetu...Du vichekesho au maigizo ya Bongo kwa ujumla ni pasua kichwa. Hivi kuna watu wanakaa kabisa mbele ya TV kuangalia upuuzi huu?
Yep. According to you! Different people, different ''mental classes''. Hata nguruwe ana chakula chake favourite ati!"You can make talent professional, but you can't make professional talent". Mizengwe ni kundi Bora la comedy kuwahi tokea hapa Bongo na East Africa. R.I.P Mzee wetu...
...kumbe ulilijua hilo eeeh, ndo maana katika uzi huu nguruwe amekuwa mmoja tu ...Yep. According to you! Different people, different ''mental classes''. Hata nguruwe ana chakula chake favourite ati!