Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu Covid19 haiogopi ubabe, Dikteta aliiwekea ugoko ikasepa nae mazima!!!Huna akili, mkiona mauzo ya chanjo yanasuasua ndio mnaanza, ooh wimbi la tatu..,
Mwache abwabwaje tuumkuu Covid19 haiogopi ubabe, Dikteta aliiwekea ugoko ikasepa nae mazima!!!
Yes,we Kama Mimi,, wale mizengwe Wana kipaji, kasoro yule mmoja kijana mweupe, yule anafosi tu apate ela ya ugali, ila Hana talent ya comedyKatika komedi nanayoipenda ni hii.mizengwe waigizajinwake ni comedian by nature huyu mzee alikuwa mahiri kwa kila idara R.I.P mzee wa sarakasi
Mimi ni nani nikatae ofa yako mzee mwenzangu .jiandae tu ni week ijayo tu niende saloon
R.I.P Kwake japo alionekana ni Mdhaifu ( Mgonjwa ) Kitambo sana tu hata kwa Kumtizama Runingani.Taarifa zinaeleza kwamba amefariki usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Muhimbili alikolazwa tangu tarehe 13 June
========
MWIGIZAJI wa Kikundi cha Maigizo cha Kashkashi kinachorusha mchezo wao wa kuchekesha wa Mizengwe kupitia Televisheni ya ITV, Jumanne Alela almaarufu Mzee Matata amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Juni 16, 2021 Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar alipokuwa amelazwa kwa matibabu toka Juni 13, 2021..
Kwa mujibu wa mwigizaji maarufu nchini, @madebelidai, mazishi ya Mzee Matata yatafanyika kesho kwenye Makaburi ya Buguruni,Malapa jijini Dar.
“Mwanatasnia mwenzetu Mzee Jumanne Alela (Mzee Matata) yatafanyika kesho saa saba mchana kwenye Makaburi ya Buguruni-Malapa.
“Msiba upo kwa ndugu zake, Chamazi kwa Mkongo (jijini Dar),” taarifa kutoka kwa @madebelidai.
Chanzo: Global Publishers
Aya mzee mwenzangu😜, raha tujipe wenyewe ,Mimi ni nani nikatae ofa yako mzee mwenzangu .jiandae tu ni week ijayo tu niende saloon
Hahahahahahaa...tunamsingizia mwendazake kumbe umaskini ni wetu wenyewe🤣🤣! Ngoja nitafute supu nile mie chakufia ni nnAya mzee mwenzangu😜, raha tujipe wenyewe ,
aliyekuwa anatukosesha raha ameshapotelea udongoni😎
Naam, hata mimi niliiona hiyo, japo sikufikiria kufa ila nilijisemea mzee wangu amedhoofika sijui Masigara wanayovuta!!!Mara ya mwisho kuangalia mizengwe wiki kama 2 hivi waliyoigiza kuhusu mke kutaka kumpa mme talaka na mme kudai mgawanyo wa mali marehemu akiwa mwenyekiti wa mtaa hali yake ya kiafya haikuwa nzuri alikuwa kaisha na kuzeeka sana mpk nikawaza hili lililomtokea
Siku zake zimetimia Bwana awafariji familia
Huyo mwenye tshirt nyeusi
La Pili huenda ndiyo lile lililoondoka na ' Mtu ' tarehe 17 Machi, 2021.Wimbi la tatu
Wachaga wanaofia Dar, ni kama asilimia mbili tu, huzikwa Dar, wengi husafirishwa kwenda kuzikwa kwao.Yuko ndugu yangu kwake ni huko buza kwa mama kibonge , lakini alipofariki alizikwa makaburi ya Mburahati , kwa maelezo kwamba mama yake mzazi alizikwa kwenye makaburi hayo enzi hizo , kwahiyo kunakuwa na vijisababu fulani hivi visivyo na mashiko yoyote yale .