TANZIA Mchekeshaji Jumanne Alela maarufu kama "Mzee Matata" wa Mizengwe afariki dunia

Kwani huko chamazi hakuna makaburi?!
 
Kwani huko chamazi hakuna makaburi?!
Yuko ndugu yangu kwake ni huko buza kwa mama kibonge , lakini alipofariki alizikwa makaburi ya Mburahati , kwa maelezo kwamba mama yake mzazi alizikwa kwenye makaburi hayo enzi hizo , kwahiyo kunakuwa na vijisababu fulani hivi visivyo na mashiko yoyote yale .
 
Ni kuwasumbua marehemu tu
 
Mwigizaji wa vichekesho wa kikundi la Mizengwe, Jumanne Alela maarufu Mzee Matata amefariki dunia.

Taarifa ya kifo chake zimethibitishwa leo Jumatano Juni 16, 2021 na mkuu wa kitengo cha mawasiliano kwa umma Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Aminiel Aligaesha.

Aligaesha amesema msanii huyo amefariki dunia jana saa tano na nusu baada ya kulazwa katika hospitali hiyo tangu Juni 13, 2021.

 
Mwenyezi Mungu amsamehe mapungufu yake na aiweke roho yake mahali peponi
 
Katika komedi nanayoipenda ni hii.mizengwe waigizajinwake ni comedian by nature huyu mzee alikuwa mahiri kwa kila idara R.I.P mzee wa sarakasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…