macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Nguruwe aliyesema kuwa ni best comeadian in East Africa siyo!🤣 🤣 🤣 🤣 🤣. Mnacheza na comedy ninyi. Industry ya acting Bongo bado sana na wenye upeo finyu tu ndiyo wanaofurahia. Kwenye kundi la mashabiki wake utakuta ma-bar maid, ma-house girls, waendesha boda boda.... you name it....kumbe ulilijua hilo eeeh, ndo maana katika uzi huu nguruwe amekuwa mmoja tu ...
take it in vain meeeen! Kumbe wewe ndiyo pig mwenyewe dah!!! sikujua bana!!!!Nguruwe aliyesema kuwa ni best comeadian in East Africa siyo![emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]. Mnacheza na comedy ninyi. Industry ya acting Bongo bado sana na wenye upeo finyu tu ndiyo wanaofurahia. Kwenye kundi la mashabiki wake utakuta ma-bar maid, ma-house girls, waendesha boda boda.... you name it.
Haa haa. Unaona aibu kwa kushabikia vitu vya class ya chini namna hiyo? Kwa kifupi viwanja wa huko baki na ma-house girls.... mimi comedy zangu hata hiyo lugha huwezi kuielewa...take it in vain meeeen! Kumbe wewe ndiyo pig mwenyewe dah!!! sikujua bana!!!!
Huwa hukosi hicho kipindi kweli? Nina mashaka na wewe,,, maana wakati huo kuna taarifa ya habari.poleni sana wana kashkash group kwa msiba mkubwa wa kupoteza mwenzenu lkn pia kwa washabiki wake wote nikiwemo mimi.
huwa sikosi kipindi cha kashkash kila siku ya J.pili saa mbili na nusu ITV.
Mzee Matata amefanya kazi kubwa sana ya kuelimisha jamii kupitia maigizo yao.
Apumzike kwa amani.
Bwana ametoa na bwana ametwaaIle mitama aisee si mchezo!
Third waveDah...so sad...walikua wameclick sana aise
Duh,so sad...
Sorry, una maana tunachelewa kufa tutakuja kuta wana si wetu ?, ukitaka kutangulia unaweza hakuna mtu anakuzuiaApumzike kwa amani mzee huyu.
Ila chelewa chelewa hii ikiyahusu pia yale mambo yetu ya chanjo, tutakuja kuta wana si wetu.
Sorry, una maana tunachelewa kufa tutakuja kuta wana si wetu ?, ukitaka kutangulia unaweza hakuna mtu anakuzuia
Hapana kelphin kepph simfahamu....[emoji846]Africa nzima???![emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
@Rowin unamjua???
Watu wenye stress utawajua tu. Atuache!Kwani unafikiri kila mtu ni mpuuzi kama wew kulazimisha wote tupende unavyopenda wew?