Mchekeshaji kutoka Kenya, Eric Omondi amkana mtoto hadi vipimo vya DNA vitakapofanyika

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
11,786
Reaction score
18,562
Huyu ni mchekeshaji raia wa Kenya Eric Omond na hiyo picha nyingine ni mtoto ambaye amemkana kupita social networks akidai sio wake mpaka pale watakapopima DNA.

Wanaume wakati mwingine tuonage aibu basi. Case study: inspector Omary Mahita.



======

Alichoandika Eric Omondi katika ukurasa wake wa Instagram

======




 
Kwa akili ya kawaida tu, unadhani kuna watoto wangapi huko Kenya wana macho yanayofanana na Omondi?

Maana kama ni hivyo basi Shetta atakuwa ni mtoto wa Kamanda Kova...
Birds with the same feathers always fly together.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…