Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Lakini sio lazima mtoto awe wake,umuhimu wa DNA upo kama muhusika ana uhakika sio damu yakeNdio tena pika pakua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini sio lazima mtoto awe wake,umuhimu wa DNA upo kama muhusika ana uhakika sio damu yakeNdio tena pika pakua.
Maana kama ni hivyo basi Shetta atakuwa ni mtoto wa Kamanda Kova...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah aiseee umewaza mbali
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahah namuweka sawa tu ndugu yangu anayeconclude kwa kutazama picha
Kama ndiyo hivyo haikuwa na haja, maana huwezi jua DNA ikachakachua utajuata baadae.Ndio tena pika pakua.
Jf inamaneno "alikuwa anasukuma tope?"Jamaa alikuwa anasukuma tope tu peku.....!!?
mtoto anamkataa!. Siajabu ndio huyo huyo kapangiwa na Maulana
Ile hutafuti pale.Kwa akili ya kawaida tu, unadhani kuna watoto wangapi huko Kenya wana macho yanayofanana na Omondi?
Maana kama ni hivyo basi Shetta atakuwa ni mtoto wa Kamanda Kova...
Ulikuwepo eneo la tukio wakati wanapika na kupakuaNdio tena pika pakua.
Mwanamke alikataa kwa maelezo ya EricKwann wasiende kupima hiyo DNA
Kama hujawahi check youtube paternity court. Unakuta mwanamke ametembea na wanaume wanne tofauti kwenye window of conception hapo anabahatisha tu baba wa mtotoMtu hataki kuwa kwenye maisha ya mwanao, wewe unaforce. Hivi wakina mama wengine wanapenda watoto wao kweli?
Do you really want this person asiyemtaka mwanao wholeheartedly apate access to him/her? Maana usitegemee atatoa tu pesa, kuna wakati atamchukua mwanao, kuna wakati ataishi naye siku mbili tatu. Sasa kama hampendi kwa moyo wote utawezaje kumuacha naye?
Au Peter Msechu na Mh. Tundu Lissu, basi watakuwa ni mtu na mdogo wake 😁😁Kwa akili ya kawaida tu, unadhani kuna watoto wangapi huko Kenya wana macho yanayofanana na Omondi?
Maana kama ni hivyo basi Shetta atakuwa ni mtoto wa Kamanda Kova...
DNA Haiwezi kuchakachua Bali watu wanaweza kuchakachua na si jambo rahisi kama unavyoweza kufikiria.Kama ndiyo hivyo haikuwa na haja, maana huwezi jua DNA ikachakachua utajuata baadae.