Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Kama mwanamke umeishi nae pika pakua, na mtoto kwa sura tuu mnarandana hata kidogo yanini DNA hebu fikiri baadae ajue ulimkataa na sasa unaitaji msaada wake.DNA Haiwezi kuchakachua Bali watu wanaweza kuchakachua na si jambo rahisi kama unavyoweza kufikiria.