Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
Nadhani alipopewa pesa hajakosea ila kampeni aliyompigia hapo kwa stage.Kwa jinsi maisha yalivyo magumu, hata mimi sasa hivi mtu akinipa pesa lazima nitampigia magoti.
Kuna 30k hapa Mkuu, hauhitaji hata kuipigia magoti njoo chukua.