Mchengerwa aagiza Mchakato wa uanzishwaji wa Mamlaka ya Uendelezaji wa Jjiji la Dar uanze

Mchengerwa aagiza Mchakato wa uanzishwaji wa Mamlaka ya Uendelezaji wa Jjiji la Dar uanze

Si ajabu awamu ya saba tukashuhudia tangazo jipya tukirudi kule kule tulikokuwa.

Watakuja na sababu zao ambazo tutakubaliana nazo.

Mimi nadhani tuwe na by-laws ambazo zitafanya limitations kwa wanasiasa kufanya maamuzi ya kisera wenyewe bila kushirikisha jamii.

Mfano jambo hili lingepelekwa kwenye baraza la madiwani likajadiliwa na kuamuliwa.

Ila sio kama hivi kila mara ni mabadiliko. Mnawachanganya raia.
Ndio umeyajua haya sasa hivi? Mbona hukusema hivyo wakati Chato ilipotaka kufanywa mkoa??
 
Nimeeleza hapo kwamba halmashauri ya jiji ilikuwa moja tu ikijumuisha wilaya zote tatu zilizokuwepo wakati huo baadaye ndiyo ikavunjwa na kuundwa tume ya jiji kabla haijaundwa upya na kuweka manispaa tatu Ilala,Temeke na Kinondoni na halmashauri ya jiji ambayo nimesema kimsingi sikuona jukumu lake hasa(labda liliundwa kisiasa tu).
Lakini kwa jinsi ulivyokuwa mgumu kuelewa unaniuliza eti hilo jiji lilovunjwa na Sumaye lilikuwaje! Na eti labda nazungumzia tume ya jiji iliyokuwa ikiongozwa na Keenja! Inaonekana ni mzito sana kuelewa.
Sina ufafanuzi zaidi.
Unajificha kwenye kichaka, umeulizwa ubora wa muundo huo ulikuwa upi unasema huna jibu, kusema tu halmashauri ilijumuisha wilaya zote pasipo kusema ni vipi ilikuwa effective zaidi ni maneno matupu, nimekuwekea ni excerpt ya historical reforms za jiji la dsm inayoonyesha vunja unda vunja, kama one all encompassing council was the best format nayo ikapigwa chini huoni tatizo lipo? Halmashauri moja ilikuwa too big to give equal attention to all surbubs utoaji huduma ulizorota hasa kwa maeneo ya pembezoni, Unakalia iliyovunjwa ilikuwa bora huo ubora kimuundo uliovonjwa na sumaye huusemi.
 
Unajificha kwenye kichaka, umeulizwa ubora wa muundo huo ulikuwa upi unasema huna jibu, kusema tu halmashauri ilijumuisha wilaya zote pasipo kusema ni vipi ilikuwa effective zaidi ni maneno matupu, nimekuwekea ni excerpt ya historical reforms za jiji la dsm inayoonyesha vunja unda vunja, kama one all encompassing council was the best format nayo ikapigwa chini huoni tatizo lipo? Halmashauri moja ilikuwa too big to give equal attention to all surbubs utoaji huduma ulizorota hasa kwa maeneo ya pembezoni, Unakalia iliyovunjwa ilikuwa bora huo ubora kimuundo uliovonjwa na sumaye huusemi.
Kama ambavyo nimesema sina ufafanuzi zaidi ili tuendelee kubishana pasipo na tija yoyote.
Hiyo historia uliyoiweka siyo kitu cha kujisifu na kujiona mjuaji maana kila mtu anaweza kuisoma kwenye website ya Halmashauri ya jiji ulichofanya ni ku copy na ku paste.
 
Kama ambavyo nimesema sina ufafanuzi zaidi ili tuendelee kubishana pasipo na tija yoyote.
Hiyo historia uliyoiweka siyo kitu cha kujisifu na kujiona mjuaji maana kila mtu anaweza kuisoma kwenye website ya Halmashauri ya jiji ulichofanya ni ku copy na ku paste.
huna ufafanuzi ni jibu zuri
 
Hii sasa inachekesha sana Magufuli alilifunja jiji leo Mchengerwa analirudisha ! Ama kweli Ukishangaa ya Mussa utaona ya Firauni !
 
Kuna jiji la Dar es Salaam na mkoa wa Dar es Salaam. Magufuli aliifanya Manispaa ya Ilala peke yake ndiyo iunde jiji la Dar es Salaam na Manispaa zilizobaki ziwe tu mkoa wa Dar es Salaam.

Kauli hii ya Mchengerwa ni kama inabatilisha maamuzi ya Magufuli na kurudisha muundo wa zamani wa Manispaa zote za Dar es Salaam kuunda jiji la Dar es Salaam.

Ova
Huu muundo wengi hawauelewi. Maana hakuna eneo la kiutawala linaitwa Dar. Ni Kama ilivyo Ruvuma, Kagera

Mchanganyiko huu pia ulifanya hata mkapa akavunja halmashauri ya jiji la dar.

Magufuli alichukua muundo wa majiji mengine, Arusha jiji ina eneo la kiutawala sababu kuna wilaya ya Arusha mjini, mbeya jiji Ina eneo la kiutawala sababu kuna wilaya ya mbeya mjini, hivyo hivyo kwa Tanga, mwanza. Mbeya ni jiji lakini haimaanishi aliyepo kyela au chunya nae yupo jiji la mbeya. Jiji ni mjini, hii ndio ilikua idea ya magufuli

Mchengerwa hajamaamisha hivyo ulivyosema, nadhani anakuja na ule muundo wa mkapa(tume ya jiji) ili kusimamia manispaa zote
 
Hii sasa inachekesha sana Magufuli alilifunja jiji leo Mchengerwa analirudisha ! Ama kweli Ukishangaa ya Mussa utaona ya Firauni !
Hakuna ajabu maamuzi huwa yanategemea wakati, mkapa alilivunja pia
 
Nimeeleza hapo kwamba halmashauri ya jiji ilikuwa moja tu ikijumuisha wilaya zote tatu zilizokuwepo wakati huo baadaye ndiyo ikavunjwa na kuundwa tume ya jiji kabla haijaundwa upya na kuweka manispaa tatu Ilala,Temeke na Kinondoni na Halmashauri ya jiji ambayo nimesema kimsingi sikuona jukumu lake hasa(labda iliundwa kisiasa tu).
Lakini kwa jinsi ulivyokuwa mgumu kuelewa unaniuliza eti hilo jiji lilovunjwa na Sumaye lilikuwaje! Na eti labda nazungumzia tume ya jiji iliyokuwa ikiongozwa na Keenja! Inaonekana ni mzito sana kuelewa.
Sina ufafanuzi zaidi.
Nisaidie kunielelewesha utofauti wa halmashauri ya jiji na tume ya jiji muundo wake ulikuwa vipi
 
Back
Top Bottom