Unajificha kwenye kichaka, umeulizwa ubora wa muundo huo ulikuwa upi unasema huna jibu, kusema tu halmashauri ilijumuisha wilaya zote pasipo kusema ni vipi ilikuwa effective zaidi ni maneno matupu, nimekuwekea ni excerpt ya historical reforms za jiji la dsm inayoonyesha vunja unda vunja, kama one all encompassing council was the best format nayo ikapigwa chini huoni tatizo lipo? Halmashauri moja ilikuwa too big to give equal attention to all surbubs utoaji huduma ulizorota hasa kwa maeneo ya pembezoni, Unakalia iliyovunjwa ilikuwa bora huo ubora kimuundo uliovonjwa na sumaye huusemi.