Mchengerwa hutokuwa Waziri milele. Napinga kauli zako za Kibabe kwa Watumishi

Mchengerwa hutokuwa Waziri milele. Napinga kauli zako za Kibabe kwa Watumishi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Uongozi ni kuongoza kwa kuelekeza na kuonyesha njia utaratibu wa kuongoza Taasisi ya serikali unayo miongozo yake, huongozi tu kwa akili yako. Kwamba wewe kwa vile ni kiongozi wa kuteuliwa kutokana na koneksheni basi unadhani una akili kuliko watendaji wote wa kitengo chako huko ni kujidanganya kirahisi sana .

Wewe kuwa kiongozi kusikufanye udharau hata waliokuzidi umri na Elimu. Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana na hasa hivi vyeo vya mbeleko, ni muhimu sana kutumia lugha ya Staha unapotoa maelekezo, iko siku utawekwa benchi urudi kwetu vijiweni.

Screenshot_2023-12-15-19-33-57-1.png
Screenshot_2023-12-15-19-33-50-1.png
Screenshot_2023-12-15-19-53-33-1.png
 
Uongozi ni kuongoza kwa kuelekeza na kuonyesha njia , utaratibu wa kuongoza Taasisi ya serikali unayo miongozo yake , huongozi tu kwa akili yako , Kwamba wewe kwa vile ni kiongozi wa kuteuliwa kutokana na koneksheni basi unadhani una akili kuliko watendaji wote wa kitengo chako , huko ni kujidanganya kirahisi sana .

Wewe kuwa kiongozi kusikufanye udharau hata waliokuzidi umri na Elimu , Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana , na hasa hivi vyeo vya mbeleko , ni muhimu sana kutumia lugha ya Staha unapotoa maelekezo , iko siku utawekwa benchi urudi kwetu vijiweni .

View attachment 2843529View attachment 2843532View attachment 2843533
Hivi kuna binti wa Jumba jeupe ambaye hajapata ndoa !.

Huyu hana sifa wala ujuzi zaidi ya kuoa jumba jeupe.

Kila wizara anayopita anatanguliza maslahi ya Wazanzibari kwakuwa kaoa huko.

Zile nafasi 21% za ajira ya Wazanzibari huyu ndio muasisi wake.
 
Uongozi ni kuongoza kwa kuelekeza na kuonyesha njia , utaratibu wa kuongoza Taasisi ya serikali unayo miongozo yake , huongozi tu kwa akili yako , Kwamba wewe kwa vile ni kiongozi wa kuteuliwa kutokana na koneksheni basi unadhani una akili kuliko watendaji wote wa kitengo chako , huko ni kujidanganya kirahisi sana .

Wewe kuwa kiongozi kusikufanye udharau hata waliokuzidi umri na Elimu , Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana , na hasa hivi vyeo vya mbeleko , ni muhimu sana kutumia lugha ya Staha unapotoa maelekezo , iko siku utawekwa benchi urudi kwetu vijiweni .

View attachment 2843529View attachment 2843532View attachment 2843533
Acha upumbavu wako wewe dalali. Sisi tunaoujua Utumishi tunaelewa nini Waziri anafanya.

Nyie endeleeni kujenga magorofa kwa pesa ya Ruzuku mtajuana wenyewe na ujinga wenu nyie Nyumbu.

Mchengerwa go go.... Usikatishwe tamaa na hawa wasioipenda Serikali na kazi zake.

Watumishi wengine ni majizi, wakizingua wanazinguliwa tu!!!
 
Mbona Mbowe ni mwenyekiti wa Milele!
Swali lako ni la kijinga
😂😂😂


Tatizo Watanzania (Hususani Cdm)hamjulikani mnataka nini! Akiwa mpole,msikivu na mstaarabu kama Jakaya mnasema anacheka cheka.(na majizi,wezi,mafisadi) Akiwa mkali mnaanza kulalamika. Mchengerwa ni mchapa kazi mzuri hapendi ubabaishaji.Kwa wizara yenye walafi,Wala rushwa,mafisadi na watumishi wa umma wengi waliopinda kama TAMISEMI anahitajika mtu !wenye kariba ya Mchengerwa. Acha awanyooshe.

Ajabu... watumishi wa ngazi za chini wanamkubali mno!
 
Mbona Mbowe ni mwenyekiti wa Milele!
Hili halioni na halimsumbui!!!! Leo nimemdharau sana huyo Nguruwe!!!!

Haiwezekani Kila kiongozi afanane na huyu Mwenyekiti wa kudumu!! Kwamba Kwa sababu Mwenyekiti ni Mlevi wa Konyagi kwa hiyo hajadiliwi na ulevi ni halali. Mjinga mkubwa huyo
 
Hili halioni na halimsumbui!!!! Leo nimemdharau sana huyo Nguruwe!!!!

Haiwezekani Kila kiongozi afanane na huyu Mwenyekiti wa kudumu!! Kwamba Kwa sababu Mwenyekiti ni Mlevi wa Konyagi kwa hiyo hajadiliwi na ulevi ni halali. Mjinga mkubwa huyo
Sijamuunga mkono mleta uzi lkn nawe unqshangaza.

Mkapa alikuwa mnywa pombe kali kuliko rais yeyote.

Warioba hadi leo ni mlevi kupindukia.

Hakuna katqzo la kiongozi kunywa pombe.
Ungeongelea hoja na sio mtu anakula nini au anakunywa nini.
 
Hili halioni na halimsumbui!!!! Leo nimemdharau sana huyo Nguruwe!!!!

Haiwezekani Kila kiongozi afanane na huyu Mwenyekiti wa kudumu!! Kwamba Kwa sababu Mwenyekiti ni Mlevi wa Konyagi kwa hiyo hajadiliwi na ulevi ni halali. Mjinga mkubwa huyo
Kawekwa...kulinda maslahi wa zbar.....kaolewa huko mchezoooo ninii
 
Uongozi ni kuongoza kwa kuelekeza na kuonyesha njia utaratibu wa kuongoza Taasisi ya serikali unayo miongozo yake, huongozi tu kwa akili yako. Kwamba wewe kwa vile ni kiongozi wa kuteuliwa kutokana na koneksheni basi unadhani una akili kuliko watendaji wote wa kitengo chako huko ni kujidanganya kirahisi sana .

Wewe kuwa kiongozi kusikufanye udharau hata waliokuzidi umri na Elimu. Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana na hasa hivi vyeo vya mbeleko, ni muhimu sana kutumia lugha ya Staha unapotoa maelekezo, iko siku utawekwa benchi urudi kwetu vijiweni.

View attachment 2843529View attachment 2843532View attachment 2843533
Sehemu ambayo viboko vilitakiwa viendelee kutumika ni kwa wafanyakazi wa Halmashauri na Wizara yote ya TAMISEMI
 
Uongozi ni kuongoza kwa kuelekeza na kuonyesha njia utaratibu wa kuongoza Taasisi ya serikali unayo miongozo yake, huongozi tu kwa akili yako. Kwamba wewe kwa vile ni kiongozi wa kuteuliwa kutokana na koneksheni basi unadhani una akili kuliko watendaji wote wa kitengo chako huko ni kujidanganya kirahisi sana .

Wewe kuwa kiongozi kusikufanye udharau hata waliokuzidi umri na Elimu. Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana na hasa hivi vyeo vya mbeleko, ni muhimu sana kutumia lugha ya Staha unapotoa maelekezo, iko siku utawekwa benchi urudi kwetu vijiweni.

View attachment 2843529View attachment 2843532View attachment 2843533
Kuna ubabe gani hapo? Si Bora huyu anatoa kauki bila kuwatimua?

Mchengerwa acha porojo ,timua kabisa.

Mwisho kwani Kuna mtu amesema atakuwa Waziri milele? Ila Kwa kipindi akiwa na dhamana hiyo awatie adabu.

Kwani wewe mtoa mada unaogopa nini? Wewe ni mpigaji au mzembe?
 
Hili halioni na halimsumbui!!!! Leo nimemdharau sana huyo Nguruwe!!!!

Haiwezekani Kila kiongozi afanane na huyu Mwenyekiti wa kudumu!! Kwamba Kwa sababu Mwenyekiti ni Mlevi wa Konyagi kwa hiyo hajadiliwi na ulevi ni halali. Mjinga mkubwa huyo
Mnachotakiwa ni kujikita kwenye hoja iliyo ubaoni , nyuzi zinazomhusu Mbowe zimejaa humu jf , mkitaka ya Mbowe changieni kule , acheni ujinga , humu jf siandiki ili kutafuta heshima kwako , naandika ukweli ili kuelimisha jamii , kwahiyo wewe ukinidharau shauri yako .

Halafu unapata wapi ujasiri wa kudharau ID fake ?
 
Back
Top Bottom