Mchengerwa hutokuwa Waziri milele. Napinga kauli zako za Kibabe kwa Watumishi

Mchengerwa hutokuwa Waziri milele. Napinga kauli zako za Kibabe kwa Watumishi

Uongozi ni kuongoza kwa kuelekeza na kuonyesha njia utaratibu wa kuongoza Taasisi ya serikali unayo miongozo yake, huongozi tu kwa akili yako. Kwamba wewe kwa vile ni kiongozi wa kuteuliwa kutokana na koneksheni basi unadhani una akili kuliko watendaji wote wa kitengo chako huko ni kujidanganya kirahisi sana .

Wewe kuwa kiongozi kusikufanye udharau hata waliokuzidi umri na Elimu. Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana na hasa hivi vyeo vya mbeleko, ni muhimu sana kutumia lugha ya Staha unapotoa maelekezo, iko siku utawekwa benchi urudi kwetu vijiweni.

View attachment 2843529View attachment 2843532View attachment 2843533
Mkuu
Huu ni wakati wao kama familia kumega mema ya nchi.

Tuendelee kubuni na kutekeleza mikakati ya kuikomboa Tanzania kutoka kwa zimwi
 
Acha upumbavu wako wewe dalali. Sisi tunaoujua Utumishi tunaelewa nini Waziri anafanya.

Nyie endeleeni kujenga magorofa kwa pesa ya Ruzuku mtajuana wenyewe na ujinga wenu nyie Nyumbu.

Mchengerwa go go.... Usikatishwe tamaa na hawa wasioipenda Serikali na kazi zake.

Watumishi wengine ni majizi, wakizingua wanazinguliwa tu!!!

Mchengerwa is the right person kwa hii wizara. Tamisemi ni Wizara ngumu sana kwani huko ndio kuna mamwinyi wa ccm kama madiwani hivyo wanaathiri sana kazi za watendaji kwa kuweka maslahi yao mbele. Mchengerwa asiishie kuonesha makali yake huko mikoani tunataka aje asafishe na huku mjini hasa madiwani wa Kinondoni na halmashauri Yao iliyooza!!
Madiwani wa Kinondoni ni mafisadi na wauza madawa ya kulevya; wanajidai kuwa wao ndio mamwinyi wa ccm hivyo kuwagusa wanaweza kuiangusha ccm kwenye uchaguzi na kwasababu hiyo mawaziri wa TAMISEMI waliopita walikuwa wanawagwaya hawa wezi!!

Mama Liana alipokuwa mkurugeni wa Kinondoni kwa muda mfupi aliweza kuwathibiti kwa wizi wao lakini kwasababu ya umwinyi wao na ukaribu wao na ccm wakamuwekea fitina ; kuwa akiendelea kuwepo hapo Kinondoni ccm ingekosa kura kwasababu alikuwa sio mwenzao! Mama wa Watu akahamishwa na mchezo wao mchafu wa kuchota fedha za halmashauri na kuuza madawa ya kulevya unaendelea. Mchengerwa kama kweli amedhamilia kusafisha Tamisemi basi aje na huku Dar es salaam.
 
Nadhani Mchengerwa is the best minister in Mama's cabinet!
 
Mnapenda kumbembelezwa badala ya kutimiza majukumu ya dhamana mlizopewa, mkikumbushwa mnaona mnatendewa jinai, mleta uzi na walioko nyuma yako wenye mtazamo kama wako ndio wanaolizamisha taifa hili, pathetic mkubwa wewe
Kwi Kwi Kwi ! Chawa bhana !!
 
Mchengerwa is the right person kwa hii wizara. Tamisemi ni Wizara ngumu sana kwani huko ndio kuna mamwinyi wa ccm kama madiwani hivyo wanaathiri sana kazi za watendaji kwa kuweka maslahi yao mbele. Mchengerwa asiishie kuonesha makali yake huko mikoani tunataka aje asafishe na huku mjini hasa madiwani wa Kinondoni na halmashauri Yao iliyooza!!
Madiwani wa Kinondoni ni mafisadi na wauza madawa ya kulevya; wanajidai kuwa wao ndio mamwinyi wa ccm hivyo kuwagusa wanaweza kuiangusha ccm kwenye uchaguzi na kwasababu hiyo mawaziri wa TAMISEMI waliopita walikuwa wanawagwaya hawa wezi!!

Mama Liana alipokuwa mkurugeni wa Kinondoni kwa muda mfupi aliweza kuwathibiti kwa wizi wao lakini kwasababu ya umwinyi wao na ukaribu wao na ccm wakamuwekea fitina ; kuwa akiendelea kuwepo hapo Kinondoni ccm ingekosa kura kwasababu alikuwa sio mwenzao! Mama wa Watu akahamishwa na mchezo wao mchafu wa kuchota fedha za halmashauri na kuuza madawa ya kulevya unaendelea. Mchengerwa kama kweli amedhamilia kusafisha Tamisemi basi aje na huku Dar es salaam.
Spora liana ana uadilifu gani huku alkitumika kupora uchaguzi kijinga namna ile ? alitumika kumpora Umeya Boniface Jackob Kibwege sana kwa kutumwa na ccm
 
Spora liana ana uadilifu gani huku alkitumika kupora uchaguzi kijinga namna ile ? alitumika kumpora Umeya Boniface Jackob Kibwege sana kwa kutumwa na ccm
Kujua uadilifu wake ni lazima ujue historia ya utendaji wake huko kote alikopitia na vikwazo alikumbana navyo. Uadilifu wa mtu haupimwi kwa tukio moja; it involves an evaluation process!!
Unajua fitina alizowekewa na meya wa Kinondoni kwa kuthibiti matumizi yasiyo rasmi ya madiwani wa Kinondoni?
 
Uongozi ni kuongoza kwa kuelekeza na kuonyesha njia utaratibu wa kuongoza Taasisi ya serikali unayo miongozo yake, huongozi tu kwa akili yako. Kwamba wewe kwa vile ni kiongozi wa kuteuliwa kutokana na koneksheni basi unadhani una akili kuliko watendaji wote wa kitengo chako huko ni kujidanganya kirahisi sana .

Wewe kuwa kiongozi kusikufanye udharau hata waliokuzidi umri na Elimu. Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana na hasa hivi vyeo vya mbeleko, ni muhimu sana kutumia lugha ya Staha unapotoa maelekezo, iko siku utawekwa benchi urudi kwetu vijiweni.

View attachment 2843529View attachment 2843532View attachment 2843533
Namuunga mkono huyu dogo, ili nchi yetu iendelee lazima tuwe na wafanyakazi waadilifu pamoja na viongozi wetu.
 
Mchengerwa Ni bonge la wazirii kila wiRa ta anakokwenda anafnya vzr mno namkum uka akiwa waziri wa utawala Bora utumishi aise jamaa ninmwerevu
 
Uongozi ni kuongoza kwa kuelekeza na kuonyesha njia utaratibu wa kuongoza Taasisi ya serikali unayo miongozo yake, huongozi tu kwa akili yako. Kwamba wewe kwa vile ni kiongozi wa kuteuliwa kutokana na koneksheni basi unadhani una akili kuliko watendaji wote wa kitengo chako huko ni kujidanganya kirahisi sana .

Wewe kuwa kiongozi kusikufanye udharau hata waliokuzidi umri na Elimu. Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana na hasa hivi vyeo vya mbeleko, ni muhimu sana kutumia lugha ya Staha unapotoa maelekezo, iko siku utawekwa benchi urudi kwetu vijiweni.

View attachment 2843529View attachment 2843532View attachment 2843533
Umeandika nini sasa? Mbona huelezi kafanya kitu gani ambacho kinadhihilisha hayo uliyoandika. Hebu tuambie jinsi gani kajifanya ana akili na kudhalau hizo kauli za kawaida sana
 
Uongozi ni kuongoza kwa kuelekeza na kuonyesha njia utaratibu wa kuongoza Taasisi ya serikali unayo miongozo yake, huongozi tu kwa akili yako. Kwamba wewe kwa vile ni kiongozi wa kuteuliwa kutokana na koneksheni basi unadhani una akili kuliko watendaji wote wa kitengo chako huko ni kujidanganya kirahisi sana .

Wewe kuwa kiongozi kusikufanye udharau hata waliokuzidi umri na Elimu. Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana na hasa hivi vyeo vya mbeleko, ni muhimu sana kutumia lugha ya Staha unapotoa maelekezo, iko siku utawekwa benchi urudi kwetu vijiweni.

View attachment 2843529View attachment 2843532View attachment 2843533
KIBURI CHA MAMA NKWE!
Yetu macho, mambo kule hubadilika bila notisi. Tutakutana naye mtaani yakibumburuka!
 
Back
Top Bottom