Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Swali lako ni la kijingaMbona Mbowe ni mwenyekiti wa Milele!
Hivi kuna binti wa Jumba jeupe ambaye hajapata ndoa !.Uongozi ni kuongoza kwa kuelekeza na kuonyesha njia , utaratibu wa kuongoza Taasisi ya serikali unayo miongozo yake , huongozi tu kwa akili yako , Kwamba wewe kwa vile ni kiongozi wa kuteuliwa kutokana na koneksheni basi unadhani una akili kuliko watendaji wote wa kitengo chako , huko ni kujidanganya kirahisi sana .
Wewe kuwa kiongozi kusikufanye udharau hata waliokuzidi umri na Elimu , Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana , na hasa hivi vyeo vya mbeleko , ni muhimu sana kutumia lugha ya Staha unapotoa maelekezo , iko siku utawekwa benchi urudi kwetu vijiweni .
View attachment 2843529View attachment 2843532View attachment 2843533
Acha upumbavu wako wewe dalali. Sisi tunaoujua Utumishi tunaelewa nini Waziri anafanya.Uongozi ni kuongoza kwa kuelekeza na kuonyesha njia , utaratibu wa kuongoza Taasisi ya serikali unayo miongozo yake , huongozi tu kwa akili yako , Kwamba wewe kwa vile ni kiongozi wa kuteuliwa kutokana na koneksheni basi unadhani una akili kuliko watendaji wote wa kitengo chako , huko ni kujidanganya kirahisi sana .
Wewe kuwa kiongozi kusikufanye udharau hata waliokuzidi umri na Elimu , Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana , na hasa hivi vyeo vya mbeleko , ni muhimu sana kutumia lugha ya Staha unapotoa maelekezo , iko siku utawekwa benchi urudi kwetu vijiweni .
View attachment 2843529View attachment 2843532View attachment 2843533
Mbona Mbowe ni mwenyekiti wa Milele!
😂😂😂Swali lako ni la kijinga
Sijaona kosa hapo.Swali lako ni la kijinga
Hili halioni na halimsumbui!!!! Leo nimemdharau sana huyo Nguruwe!!!!Mbona Mbowe ni mwenyekiti wa Milele!
Umesomeka Afisa ManunuziKwenye hoja hii bila kujali itikadi zetu, uko sahihi mkuu kuna wateule ni Mungu mtu, **** maisha baada ya uwaziri
Sijamuunga mkono mleta uzi lkn nawe unqshangaza.Hili halioni na halimsumbui!!!! Leo nimemdharau sana huyo Nguruwe!!!!
Haiwezekani Kila kiongozi afanane na huyu Mwenyekiti wa kudumu!! Kwamba Kwa sababu Mwenyekiti ni Mlevi wa Konyagi kwa hiyo hajadiliwi na ulevi ni halali. Mjinga mkubwa huyo
Kawekwa...kulinda maslahi wa zbar.....kaolewa huko mchezoooo niniiHili halioni na halimsumbui!!!! Leo nimemdharau sana huyo Nguruwe!!!!
Haiwezekani Kila kiongozi afanane na huyu Mwenyekiti wa kudumu!! Kwamba Kwa sababu Mwenyekiti ni Mlevi wa Konyagi kwa hiyo hajadiliwi na ulevi ni halali. Mjinga mkubwa huyo
Sehemu ambayo viboko vilitakiwa viendelee kutumika ni kwa wafanyakazi wa Halmashauri na Wizara yote ya TAMISEMIUongozi ni kuongoza kwa kuelekeza na kuonyesha njia utaratibu wa kuongoza Taasisi ya serikali unayo miongozo yake, huongozi tu kwa akili yako. Kwamba wewe kwa vile ni kiongozi wa kuteuliwa kutokana na koneksheni basi unadhani una akili kuliko watendaji wote wa kitengo chako huko ni kujidanganya kirahisi sana .
Wewe kuwa kiongozi kusikufanye udharau hata waliokuzidi umri na Elimu. Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana na hasa hivi vyeo vya mbeleko, ni muhimu sana kutumia lugha ya Staha unapotoa maelekezo, iko siku utawekwa benchi urudi kwetu vijiweni.
View attachment 2843529View attachment 2843532View attachment 2843533
Kuna ubabe gani hapo? Si Bora huyu anatoa kauki bila kuwatimua?Uongozi ni kuongoza kwa kuelekeza na kuonyesha njia utaratibu wa kuongoza Taasisi ya serikali unayo miongozo yake, huongozi tu kwa akili yako. Kwamba wewe kwa vile ni kiongozi wa kuteuliwa kutokana na koneksheni basi unadhani una akili kuliko watendaji wote wa kitengo chako huko ni kujidanganya kirahisi sana .
Wewe kuwa kiongozi kusikufanye udharau hata waliokuzidi umri na Elimu. Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana na hasa hivi vyeo vya mbeleko, ni muhimu sana kutumia lugha ya Staha unapotoa maelekezo, iko siku utawekwa benchi urudi kwetu vijiweni.
View attachment 2843529View attachment 2843532View attachment 2843533
Mnachotakiwa ni kujikita kwenye hoja iliyo ubaoni , nyuzi zinazomhusu Mbowe zimejaa humu jf , mkitaka ya Mbowe changieni kule , acheni ujinga , humu jf siandiki ili kutafuta heshima kwako , naandika ukweli ili kuelimisha jamii , kwahiyo wewe ukinidharau shauri yako .Hili halioni na halimsumbui!!!! Leo nimemdharau sana huyo Nguruwe!!!!
Haiwezekani Kila kiongozi afanane na huyu Mwenyekiti wa kudumu!! Kwamba Kwa sababu Mwenyekiti ni Mlevi wa Konyagi kwa hiyo hajadiliwi na ulevi ni halali. Mjinga mkubwa huyo
Hivyo ndivyo wanavyotaka , kunyenyekewa !
🤣😅Hivyo ndivyo wanavyotaka , kunyenyekewa !