Pre GE2025 Mchengerwa kutoa Milioni 60 kwa ajiri ya ujenzi wa Studio ya Muziki! Wana Rufiji hiki ndicho mmemuagiza mbunge wenu awaletee?

Pre GE2025 Mchengerwa kutoa Milioni 60 kwa ajiri ya ujenzi wa Studio ya Muziki! Wana Rufiji hiki ndicho mmemuagiza mbunge wenu awaletee?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa mtoa mada ulitegemea nini cha maana kutoka kwa waziri wa mboga mboga tena ambae ametoka kusimamia uchafuzi juzi kati tuu hapo🤔🤔 acha wale dundo kwa sababu watanzania walio wengi wana ujinga na upumbavu wa asili ndio maana wana danganywa kwa vitu visivyo na maana😁😁
Analinda maslahi ya mama mkwe
 
Back
Top Bottom