Pre GE2025 Mchengerwa kutoa Milioni 60 kwa ajiri ya ujenzi wa Studio ya Muziki! Wana Rufiji hiki ndicho mmemuagiza mbunge wenu awaletee?

Pre GE2025 Mchengerwa kutoa Milioni 60 kwa ajiri ya ujenzi wa Studio ya Muziki! Wana Rufiji hiki ndicho mmemuagiza mbunge wenu awaletee?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu hivi Rufiji wenyeji huwa ni kabila gani? nimesoma hapo Dar 2013-2016 sikuwahi kusikia mtu chuoni kwetu anatoka Rufiji
Wandengeleko wa mwera ambao wapo Linda pia ila wandengeleko ndio tupo kwa wingi

Tuna patikana pia kuanzia kibiti, mkuranga, kisarawe, Mafia, mbagara, kigamboni, temeke na unguja
 
Wandengeleko wa mwera ambao wapo Linda pia ila wandengeleko ndio tupo kwa wingi

Tuna patikana pia kuanzia kibiti, mkuranga, kisarawe, Mafia, mbagara, kigamboni, temeke na unguja
Kuanzia chekechea mpk chuo sikuwahi kusoma na haya makabila japo chuo nilisoma Dsm wala huku kwetu ukimuuliza mtu kabila kama hilo hajui kabisa, nashauri mkuu wewe gombea nadhani utabadilisha jamii nimeona unauelewa sn unatetea wananchi kuliko Mchengerwa asee.
 
Back
Top Bottom