Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Analinda maslahi ya mama mkweSasa mtoa mada ulitegemea nini cha maana kutoka kwa waziri wa mboga mboga tena ambae ametoka kusimamia uchafuzi juzi kati tuu hapo🤔🤔 acha wale dundo kwa sababu watanzania walio wengi wana ujinga na upumbavu wa asili ndio maana wana danganywa kwa vitu visivyo na maana😁😁
Wewe angaika na mbunge wako mkuu akuletee maendeleo katika eneo lakoMchengerwa anaongoza watu wajinga, anajua huko wanapenda miziki huku yeye anapiga pesa na mama mkwe wake
Mpo vizuri. Kwa ndugu zetu wamasai mngetandikana fimbo za makomwe.Lazima uwe mtulivu sababu yote utakayoshushiwa ni ukweli mtupu mkuu!
Uungwana unasaidia nini huku Mchengerwa anazidi kuwa tajiri wao wanabaki mafukara wa kutupwa?Lakini ni waungwana sheikh wangu.😂😂😂
Wewe unatoka jimbo gani la uchaguzi mkuu? Same au arusha mjini?Ni jimbo la watu wajinga na wavivu sn
Tuna waamsha mkuu maana ni aibu tupuWewe angaika na mbunge wako mkuu akuletee maendeleo katika eneo lako
Kama ni swala la kitaifa pambana nae, ila kama ni swala la jimboni basi sisi ndio wapiga kura tutaona anaetufaa
Arusha mjini karibu mkuuWewe unatoka jimbo gani la uchaguzi mkuu? Same au arusha mjini?
Tupo kwenye msemo wa "tajiri eeeh...pangu pakavu tia mchuzi yakhe"...!Uungwana unasaidia nini huku Mchengerwa anazidi kuwa tajiri wao wanabaki mafukara wa kutupwa?
Anataka wenzake waendelee kukata viuno huku yeye anapiga pesaMaendeleo yanagusa nyanja zote katika jamii misijaona kosa hapo
Aibu tupu mkuuTupo kwenye msemo wa "tajiri eeeh...pangu pakavu tia mchuzi yakhe"...!
Hao na wasumbawanga hawana tofauti, ni vulnerable group wanahitaji msaada zaidi ya walivyoMpo vizuri. Kwa ndugu zetu wamasai mngetandikana fimbo za makomwe.
Furaha yao.Muwaache.Aibu tupu mkuu
Yeye na mama mkwe wake + Abdul wanapiga pesa za ummaAtakuwa anataka kuongeza bibie mwingine kiaina.Sunna ile ujue!
Ndiyo huyo Mkuu, humwoni analindwa na green guard/Tiss hapo 🙌Huyu ndiyo yule mratibu wa kura za wizi.
Tuna waamsha wamelalaFuraha yao.Muwaache.
Kaka wewe unatoka jimbo gani? Mbona una wivu na maendeleo ya jimboni kwetu mkuu? Yani unataka kutupangia vipaumbele vyetu viwe nini?Uungwana unasaidia nini huku Mchengerwa anazidi kuwa tajiri wao wanabaki mafukara wa kutupwa?
Usingizi unao?Tuna waamsha wamelala
Vipaumbele vyenu ni kukata viuno mkuu? amkeni amkeni mkuuKaka wewe unatoka jimbo gani? Mbona una wivu na maendeleo ya jimboni kwetu mkuu? Yani unataka kutupangia vipaumbele vyetu viwe nini?
Wao wanaoUsingizi unao?