Pre GE2025 Mchengerwa kutoa Milioni 60 kwa ajiri ya ujenzi wa Studio ya Muziki! Wana Rufiji hiki ndicho mmemuagiza mbunge wenu awaletee?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
MAENDELEO YA SEKTA MTAMBUKA ALIMRADI KILA SEKTA INAPATA MAENDELEO JAPO KIDOGO KIDOGO,
HONGERA MH. MCHENGERWA SAFI SANA, HAKUNA KUBAKISHA JAMII YOYOTE NYUMA, KUANZIA HUDUMA ZA KIMSINGI MPAKA HUDUMA ZA BURUDANI
 
Nyumbu wa mbowe Wana gubu aisee! Sasa kuendeleza Sanaa Kuna shida gani?!!!! Nyambafu zenu.
 
Itakuwa ni hivyo mkuu japo siyo wengi sn kama kabila zima watu maarufu ni 7 pekee
 
😆😆😆😆
 
Woyoooooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…