Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Yes, ndio maana huku kwetu huwezi kuta mtu ana presha ama kisukari, we dont aim higher kama wachaga wanawazza kujenga nyumba, biashara sijui kusomesha watoto , sisi mtoto atasoma tu mpaka lasaba maana elimu ni bure.Mpo vema sana.Hamna mengi.Ninyi mnadili na inner family matters tu.
Sasa mwingine ukimwambia ukweli anakuua.Mimi huwa najibishia hadi nafsi yangu.Ni ubishi tu hadi keshokutwa.
Dah!Atakuwa na changamoto ya ubongo kukaa tenge.Sasa mwingine ukimwambia ukweli anakuua.
Mkuu kwani wanaotekwa na kupotezwa, chanzo chake si ni hicho!Dah!Atakuwa na changamoto ya ubongo kukaa tenge.
Anayetoa agizo au mwenye kiherehere cha kutaka mtu atekwe wana matatizo.Duniani usisemwe au kukosolewa ukiwa na u-perfect upi?Watu wanamkosoa hadi kumkataa Mungu kwamba hayupo sembuse wewe binadamu?Mkuu kwani wanaotekwa na kupotezwa, chanzo chake si ni hicho!
MAENDELEO YA SEKTA MTAMBUKA ALIMRADI KILA SEKTA INAPATA MAENDELEO JAPO KIDOGO KIDOGO,Wakuu,
Hivi Rufiji kuna wasanii wengi eeeh kiasi kwamba demand ni kubwa sana? Wanarufiji mambo yote safi mpaka wameomba wajengewe studio🌚
===
View attachment 3175511
Waziri wa TAMISEMI na Mbunge wa Jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa ameahidi kuchangia Milioni 60 kwa ajili ya ujenzi wa Studio ya Muziki kwa ajili ya wasanii wa Rufiji, Studio hii itasimamiwa na Mwanamuziki mzawa Marioo.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Mchengerwa abebelea mizigo ya vyakula kuwapa waathirika wa mafuriko Rufiji. Atoa milioni 4
Majitu nd'oyalivyo mkuu.Anayetoa agizo au mwenye kiherehere cha kutaka mtu atekwe wana matatizo.Duniani usisemwe au kukosolewa ukiwa na u-perfect upi?Watu wanamkosoa hadi kumkataa Mungu kwamba hayupo sembuse wewe binadamu?
Hiyo kilwa Road Mkuu,weka Barabara ya Nyamwage to Utete,Ikwiriri to Mloka,kibiti to Utete via Mkongo,Muhoro to Nambunju
Itakuwa ni hivyo mkuu japo siyo wengi sn kama kabila zima watu maarufu ni 7 pekeeWanajificha katika kichaka cha uzaramo
Wapo wandengereko kwa mfano:-
1. Mboso (msanii)
2. Marioo (msanii)
3. Samata (mchezaji mpira)
4. Sheikh kipozeo
5. Alhaj Sheikh musa
6. Marehemu Prof. Mtulia
7. Dr Dau ana asili ya rufiji na Mafia
Wapo wengi sana mkuu.
😆😆😆😆Wakuu,
Hivi Rufiji kuna wasanii wengi eeeh kiasi kwamba demand ni kubwa sana? Wanarufiji mambo yote safi mpaka wameomba wajengewe studio🌚
===
View attachment 3175511
Waziri wa TAMISEMI na Mbunge wa Jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa ameahidi kuchangia Milioni 60 kwa ajili ya ujenzi wa Studio ya Muziki kwa ajili ya wasanii wa Rufiji, Studio hii itasimamiwa na Mwanamuziki mzawa Marioo.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Mchengerwa abebelea mizigo ya vyakula kuwapa waathirika wa mafuriko Rufiji. Atoa milioni 4
Hizo zote ni kilwa road?Hiyo kilwa Road Mkuu,weka Barabara ya Nyamwage to Utete,Ikwiriri to Mloka,kibiti to Utete via Mkongo,Muhoro to Nambunju
Tukuletee wakina bibi titi na koo zao?Itakuwa ni hivyo mkuu japo siyo wengi sn kama kabila zima watu maarufu ni 7 pekee
WoyooooooooNdio tunataka mchiliku na mnanda bila kusahau deda, Rufiji Fm ina kiwasha. Ujio wa studio utasaidia kukuza ajira katika upande huo
Kila Kaya yenye wasomi hakuna aliyebakia nyumbani karibu wote wanachapa kazi, barabara zipo kwa kiwango cha juu, hosp huduma nzuri, elimu shule zipo za kutosha, maji ya uhakika
Mambo mengine yanaenda kutatuliwa Kadri muda unavyoenda
Karibuni Rufiji