Pre GE2025 Mchengerwa kutoa Milioni 60 kwa ajiri ya ujenzi wa Studio ya Muziki! Wana Rufiji hiki ndicho mmemuagiza mbunge wenu awaletee?

Pre GE2025 Mchengerwa kutoa Milioni 60 kwa ajiri ya ujenzi wa Studio ya Muziki! Wana Rufiji hiki ndicho mmemuagiza mbunge wenu awaletee?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Hivi Rufiji kuna wasanii wengi eeeh kiasi kwamba demand ni kubwa sana? Wanarufiji mambo yote safi mpaka wameomba wajengewe studio🌚

===



Waziri wa TAMISEMI na Mbunge wa Jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa ameahidi kuchangia Milioni 60 kwa ajili ya ujenzi wa Studio ya Muziki kwa ajili ya wasanii wa Rufiji, Studio hii itasimamiwa na Mwanamuziki mzawa Marioo.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Mchengerwa abebelea mizigo ya vyakula kuwapa waathirika wa mafuriko Rufiji. Atoa milioni 4
 
Wakuu,

Hivi Rufiji kuna wasanii wengi eeeh kiasi kwamba demand ni kubwa sana? Wanarufiji mambo yote safi mpaka wameomba wajengewe studio🌚

===

View attachment 3175511

Waziri wa TAMISEMI na Mbunge wa Jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa ameahidi kuchangia Milioni 60 kwa ajili ya ujenzi wa Studio ya Muziki kwa ajili ya wasanii wa Rufiji, Studio hii itasimamiwa na Mwanamuziki mzawa Marioo.
Mimi naunga mkono hii idea maana ina tija kwenye sekta ya sanaa

Lakini bado Nchengerwa ni adui wa Tanzania kwa namna alivyopanga na kushiriki kichafua demokrasia na mchakato wake kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa 2024
 
Ndio tunataka mchiliku na mnanda bila kusahau deda, Rufiji Fm ina kiwasha. Ujio wa studio utasaidia kukuza ajira katika upande huo

Kila Kaya yenye wasomi hakuna aliyebakia nyumbani karibu wote wanachapa kazi, barabara zipo kwa kiwango cha juu, hosp huduma nzuri, elimu shule zipo za kutosha, maji ya uhakika

Mambo mengine yanaenda kutatuliwa Kadri muda unavyoenda

Karibuni Rufiji
 
Wakuu,

Hivi Rufiji kuna wasanii wengi eeeh kiasi kwamba demand ni kubwa sana? Wanarufiji mambo yote safi mpaka wameomba wajengewe studio🌚

===

View attachment 3175511

Waziri wa TAMISEMI na Mbunge wa Jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa ameahidi kuchangia Milioni 60 kwa ajili ya ujenzi wa Studio ya Muziki kwa ajili ya wasanii wa Rufiji, Studio hii itasimamiwa na Mwanamuziki mzawa Marioo.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Mchengerwa abebelea mizigo ya vyakula kuwapa waathirika wa mafuriko Rufiji. Atoa milioni 4
Mchengerwa anaongoza watu wajinga, anajua huko wanapenda miziki huku yeye anapiga pesa na mama mkwe wake
 
Sasa mtoa mada ulitegemea nini cha maana kutoka kwa waziri wa mboga mboga tena ambae ametoka kusimamia uchafuzi juzi kati tuu hapo🤔🤔 acha wale dundo kwa sababu watanzania walio wengi wana ujinga na upumbavu wa asili ndio maana wana danganywa kwa vitu visivyo na maana😁😁
 
Back
Top Bottom