Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Waziri Mchengerwa nimesikia maagizo yako kwa TARURA kuhusu ubora na viwango vya barabara wanazozijenga.
Ombi langu usiishie kutoa maagizo ingia site ujionee vituko mwenyewe.
Anzia na barabara za hapo Dar. Barabara zinajengwa kwa design za karne ya 18 kwenye karne ya 21. Kuna barabara mpya kabisa hapo Dar zimejengwa bila njia za watembea kwa miguu, bila njia za waendesha baiskeli mfano njia ya mbezi msakuzi.
Barabara zinajengwa bila kufungwa taa kuwezesha watu kutembea na kufanya shughuli mbalimbali hata usiku.
Kuna uhuni mkubwa sana unafanywa kwenye ujenzi wa barabara nchi hii. Tena sio kwa TARURA tu hadi TANROADS.
Kama Dodoma Mtumba waliweza kudesign barabara wakaweka njia za watembea kwa miguu, njia za kupita baiskeli na wakafunga taa swali ni je kwa nini hawafanyi sehemu zingine?
Mulikeni hili eneo na wananchi waone umuhimu wa kulipa kodi kwa ubora wa miradi inayojengwa.
Ombi langu usiishie kutoa maagizo ingia site ujionee vituko mwenyewe.
Anzia na barabara za hapo Dar. Barabara zinajengwa kwa design za karne ya 18 kwenye karne ya 21. Kuna barabara mpya kabisa hapo Dar zimejengwa bila njia za watembea kwa miguu, bila njia za waendesha baiskeli mfano njia ya mbezi msakuzi.
Barabara zinajengwa bila kufungwa taa kuwezesha watu kutembea na kufanya shughuli mbalimbali hata usiku.
Kuna uhuni mkubwa sana unafanywa kwenye ujenzi wa barabara nchi hii. Tena sio kwa TARURA tu hadi TANROADS.
Kama Dodoma Mtumba waliweza kudesign barabara wakaweka njia za watembea kwa miguu, njia za kupita baiskeli na wakafunga taa swali ni je kwa nini hawafanyi sehemu zingine?
Mulikeni hili eneo na wananchi waone umuhimu wa kulipa kodi kwa ubora wa miradi inayojengwa.