LGE2024 Mchengerwa: Wagombea ambao hawajaridhishwa na uteuzi, waweke pingamizi

LGE2024 Mchengerwa: Wagombea ambao hawajaridhishwa na uteuzi, waweke pingamizi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Tena hapo anaongea kwa zereu kubwa sana.
Kiburi watatufanya nini. Ndiyo maana hali kama hii ilitokea huko Liberia. Hawa walikuwa mawaziri.... haipendezi na hatutaki tufike huko. Tutende haki please mchengerwa
1731076395483.png

Liberian Soldiers Taunt, Shoot 13 Former Leaders​

 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa waweke pingamizi ndani ya siku 2 kuanzia leo tarehe 08 - 09/11/2024.

Amesema hayo leo tarehe 8 .11.2024 wakati akiongea na vyombo vya habari kuhusu uteuzi wa wagombea katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma

“Kama mnavyojua, leo ni siku muhimu ya uteuzi wa wagombea kwaajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mujibu wa Kanuni ya 18 ya Tangazo la Serikali Na. 571, 573, 574, pamoja na Kanuni ya 17 ya Tangazo la Serikali Na. 572 yote ya tarehe 12 Julai 2024.”

“Kanuni hizi zinamtaka Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kufanya uteuzi wa wagombea leo tarehe 8 Novemba, 2024, kuanzia saa mbili kamili asubuhi hadi saa kumi kamili jioni. Mara baada ya uteuzi kukamilika, majina ya wagombea wenye sifa na wale ambao hawajakidhi vigezo vya kugombea yatabandikwa hadharani ili umma uweze kuyapata wakiwemo wagombea wenyewe”.Aliongeza Mhe. Mchengerwa.

Ameendelea kueleza kuwa kwa mujibu wa Kanuni hizo mtu yeyote aliyeomba kuteuliwa kuwa mgombea au mgombea ambaye hakuridhika na uamuzi uliotolewa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, anaweza kuwasilisha pingamizi na kumuomba Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kupitia upya uamuzi uliofanyika ili amteue kuwa mgombea au atengue uteuzi anaoupinga.

Amesema kwamba pingamizi hili linaweza kuwasilishwa kwa maandishi ndani ya siku mbili tangu uamuzi au uteuzi ulipofanyika. Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atalishughulikia pingamizi hilo na kutoa uamuzi ndani ya siku mbili tangu alipolipokea.

“Hivyo, kwa mujibu ya kanuni hizi, kuanzia leo tarehe 8 na kesho tarehe 9 Novemba 2024, kwa mgombea yeyote ambaye hatoridhika na uamuzi wa Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi kuhusu uteuzi, anapaswa kutumia nafasi ya siku hizi mbili ili malalamiko yake yaweze kufanyiwa kazi kwa mujibu wa Kanuni’.Alisisitiza

Amesema kwamba Uchaguzi huu unaongozwa na kanuni hivyo wagombea wasioridhika wanapaswa kuweka pingamizi na sio kuzungumza mitandaoni kwa sababu endapo utazungumza mitandaoni na hujawaweka pingamizi atakuwa hujafuata Kanuni hivyo wote wenye changamoto wahakikishe wanaweka pingamizi kwenye maeneo yao.

Aliongeza kuwa iwapo mgombea hatoridhika na uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi juu ya pingamizi lake, ana haki ya kukata rufaa kwenye Kamati ya Rufaa ndani ya muda usiozidi siku nne baada ya uamuzi huo kutolewa. Maana yake Rufaa ziwasilishwe kuanzia tarehe 10 hadi 13 Novemba, 2024 kwa kamati ya Rufaa.

Aidha, amesema ni muhimu wagombea wote wafuate taratibu za kisheria na kuhakikisha malalamiko yao yanawasilishwa katika sehemu sahihi ndani ya muda uliowekwa kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi. Hii itasaidia kuimarisha utulivu na uwazi katika mchakato mzima wa uchaguzi.
Kwa nini utaratibu mzuri tu usifuatwe kuweka pingamizi ndiyo iwe solution. Kwa uzoefu wangu sijaona pingamizi likawa suluhisho sahihi, maana ni rahisi tu kusema halina merit, na ndio ukawa mwisho. Ona pia mambo yanayotakiwa watu wanapokwenda kutafuta haki mahakamani, mahakama inawaambia "jambo hili si la kisheria, bali ni la kisiasa." Je, Ina maana kuna mambo ya kisiasa yanayofanyika nje ya sheria? Si lazima kila jambo la kisiasa lifanyike kwa mujibu wa sheria? Sasa watu wanaona jambo fulani limefanyika kinyume cha sheria wanakwenda kutafuta haki mahakamani na mahakama inawaambia jambo hilo si la kisheria, kweli?
 
Ameendelea kueleza kuwa kwa mujibu wa Kanuni hizo mtu yeyote aliyeomba kuteuliwa kuwa mgombea au mgombea ambaye hakuridhika na uamuzi uliotolewa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, anaweza kuwasilisha pingamizi na kumuomba Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kupitia upya uamuzi uliofanyika ili amteue kuwa mgombea au atengue uteuzi anaoupinga.
Huu ndio upuuzi wa hali ya juu sana.

Hawa watu wanadhani nchi hii ni mali yao, wanaweza kufanya chochote wanacho weza kufanya. Hii tabia ni lazima ikomeshwe.
 
Ccm ndio italeta fujo tanzania vyombo vya ulinzi tambueni dhamana mliyopewa na taifa ccm wanawatukanisha makusudi tulimshauri jpm hakusikia bado hizi tabia za hovyo zinaendelea ipo siku vyombo vya dola mtajutia huu upuuzi wa ccm na kusema bora tungei crap mapema ila mnasubiri watu waanze kukatana shingo kama leo mnavyoteka wapinzani kwa maelekezo ya ccm laiti mngetusikia sasa tunaoshauri kwa upendo.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa waweke pingamizi ndani ya siku 2 kuanzia leo tarehe 08 - 09/11/2024.

Amesema hayo leo tarehe 8 .11.2024 wakati akiongea na vyombo vya habari kuhusu uteuzi wa wagombea katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma

“Kama mnavyojua, leo ni siku muhimu ya uteuzi wa wagombea kwaajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mujibu wa Kanuni ya 18 ya Tangazo la Serikali Na. 571, 573, 574, pamoja na Kanuni ya 17 ya Tangazo la Serikali Na. 572 yote ya tarehe 12 Julai 2024.”

“Kanuni hizi zinamtaka Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kufanya uteuzi wa wagombea leo tarehe 8 Novemba, 2024, kuanzia saa mbili kamili asubuhi hadi saa kumi kamili jioni. Mara baada ya uteuzi kukamilika, majina ya wagombea wenye sifa na wale ambao hawajakidhi vigezo vya kugombea yatabandikwa hadharani ili umma uweze kuyapata wakiwemo wagombea wenyewe”.Aliongeza Mhe. Mchengerwa.

Ameendelea kueleza kuwa kwa mujibu wa Kanuni hizo mtu yeyote aliyeomba kuteuliwa kuwa mgombea au mgombea ambaye hakuridhika na uamuzi uliotolewa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, anaweza kuwasilisha pingamizi na kumuomba Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kupitia upya uamuzi uliofanyika ili amteue kuwa mgombea au atengue uteuzi anaoupinga.

Amesema kwamba pingamizi hili linaweza kuwasilishwa kwa maandishi ndani ya siku mbili tangu uamuzi au uteuzi ulipofanyika. Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atalishughulikia pingamizi hilo na kutoa uamuzi ndani ya siku mbili tangu alipolipokea.

“Hivyo, kwa mujibu ya kanuni hizi, kuanzia leo tarehe 8 na kesho tarehe 9 Novemba 2024, kwa mgombea yeyote ambaye hatoridhika na uamuzi wa Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi kuhusu uteuzi, anapaswa kutumia nafasi ya siku hizi mbili ili malalamiko yake yaweze kufanyiwa kazi kwa mujibu wa Kanuni’.Alisisitiza

Amesema kwamba Uchaguzi huu unaongozwa na kanuni hivyo wagombea wasioridhika wanapaswa kuweka pingamizi na sio kuzungumza mitandaoni kwa sababu endapo utazungumza mitandaoni na hujawaweka pingamizi atakuwa hujafuata Kanuni hivyo wote wenye changamoto wahakikishe wanaweka pingamizi kwenye maeneo yao.

Aliongeza kuwa iwapo mgombea hatoridhika na uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi juu ya pingamizi lake, ana haki ya kukata rufaa kwenye Kamati ya Rufaa ndani ya muda usiozidi siku nne baada ya uamuzi huo kutolewa. Maana yake Rufaa ziwasilishwe kuanzia tarehe 10 hadi 13 Novemba, 2024 kwa kamati ya Rufaa.

Aidha, amesema ni muhimu wagombea wote wafuate taratibu za kisheria na kuhakikisha malalamiko yao yanawasilishwa katika sehemu sahihi ndani ya muda uliowekwa kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi. Hii itasaidia kuimarisha utulivu na uwazi katika mchakato mzima wa uchaguzi.
Huyo ndio waziri kilaza kuliko anaishi kwa nguvu za mama mkwe...nchi nzima wamejaza mabango mama anaupiga mwingi huku bado wanaengua watu plus kuandikusha majina hewa...ccm ilishafariki
 
Sasa watu wanajiandikisha halafu wagombea wa upinzani wanaenguliwa wote kuna uchaguzi sasa hapo?
Kama huoni tofauti kati ya "kususa" na kujibidisha kwa" kujiandikisha" ikiwa ni hatua moja mbele katika juhudi za kushughulikia tatizo husika itakuwa ni kupoteza muda kujaribu kueleza tofauti iliyopo kati ya hizo hali mbili.
 
Kama huoni tofauti kati ya "kususa" na kujibidisha kwa" kujiandikisha" ikiwa ni hatua moja mbele katika juhudi za kushughulikia tatizo husika itakuwa ni kupoteza muda kujaribu kueleza tofauti iliyopo kati ya hizo hali mbili.
Ni upumbavu sn
 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa waweke pingamizi ndani ya siku 2 kuanzia leo tarehe 08 - 09/11/2024.

Amesema hayo leo tarehe 8 .11.2024 wakati akiongea na vyombo vya habari kuhusu uteuzi wa wagombea katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma

“Kama mnavyojua, leo ni siku muhimu ya uteuzi wa wagombea kwaajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mujibu wa Kanuni ya 18 ya Tangazo la Serikali Na. 571, 573, 574, pamoja na Kanuni ya 17 ya Tangazo la Serikali Na. 572 yote ya tarehe 12 Julai 2024.”

“Kanuni hizi zinamtaka Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kufanya uteuzi wa wagombea leo tarehe 8 Novemba, 2024, kuanzia saa mbili kamili asubuhi hadi saa kumi kamili jioni. Mara baada ya uteuzi kukamilika, majina ya wagombea wenye sifa na wale ambao hawajakidhi vigezo vya kugombea yatabandikwa hadharani ili umma uweze kuyapata wakiwemo wagombea wenyewe”.Aliongeza Mhe. Mchengerwa.

Ameendelea kueleza kuwa kwa mujibu wa Kanuni hizo mtu yeyote aliyeomba kuteuliwa kuwa mgombea au mgombea ambaye hakuridhika na uamuzi uliotolewa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, anaweza kuwasilisha pingamizi na kumuomba Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kupitia upya uamuzi uliofanyika ili amteue kuwa mgombea au atengue uteuzi anaoupinga.

Amesema kwamba pingamizi hili linaweza kuwasilishwa kwa maandishi ndani ya siku mbili tangu uamuzi au uteuzi ulipofanyika. Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atalishughulikia pingamizi hilo na kutoa uamuzi ndani ya siku mbili tangu alipolipokea.

“Hivyo, kwa mujibu ya kanuni hizi, kuanzia leo tarehe 8 na kesho tarehe 9 Novemba 2024, kwa mgombea yeyote ambaye hatoridhika na uamuzi wa Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi kuhusu uteuzi, anapaswa kutumia nafasi ya siku hizi mbili ili malalamiko yake yaweze kufanyiwa kazi kwa mujibu wa Kanuni’.Alisisitiza

Amesema kwamba Uchaguzi huu unaongozwa na kanuni hivyo wagombea wasioridhika wanapaswa kuweka pingamizi na sio kuzungumza mitandaoni kwa sababu endapo utazungumza mitandaoni na hujawaweka pingamizi atakuwa hujafuata Kanuni hivyo wote wenye changamoto wahakikishe wanaweka pingamizi kwenye maeneo yao.

Aliongeza kuwa iwapo mgombea hatoridhika na uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi juu ya pingamizi lake, ana haki ya kukata rufaa kwenye Kamati ya Rufaa ndani ya muda usiozidi siku nne baada ya uamuzi huo kutolewa. Maana yake Rufaa ziwasilishwe kuanzia tarehe 10 hadi 13 Novemba, 2024 kwa kamati ya Rufaa.

Aidha, amesema ni muhimu wagombea wote wafuate taratibu za kisheria na kuhakikisha malalamiko yao yanawasilishwa katika sehemu sahihi ndani ya muda uliowekwa kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi. Hii itasaidia kuimarisha utulivu na uwazi katika mchakato mzima wa uchaguzi.

Kuna kitu kinaitwa "hubris". Wanasema kuwa ukate rufaa kwa huyo huyo aliyekukata! Na kama nako hautaridhika ukate rufaa kwa kamati iliyojaa wenzake. Kama kweli wangekuwa wanataka uchaguzi wa haki wangekemea matendo ya watu kujificha ili wasipokee fomu, watu kuweka vituo bandia vya uandikishaji, watu kuandikisha watoto n.k. Na matendo hayo tumeyajua kupitia social media na sio ofisi yake. Wanachotaka sasa kufanya ni kujaribu kujikosha kwa kurudisha wagombea wachache ili waonekane kama wapenda haki.

Matamshi yake ni ushahidi wa kutosha kuwa mfumo mzima wa uchaguzi haufai. Wasitufanye wajinga.

Amandla...
 
M

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa waweke pingamizi ndani ya siku 2 kuanzia leo tarehe 08 - 09/11/2024.

Amesema hayo leo tarehe 8 .11.2024 wakati akiongea na vyombo vya habari kuhusu uteuzi wa wagombea katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma

“Kama mnavyojua, leo ni siku muhimu ya uteuzi wa wagombea kwaajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mujibu wa Kanuni ya 18 ya Tangazo la Serikali Na. 571, 573, 574, pamoja na Kanuni ya 17 ya Tangazo la Serikali Na. 572 yote ya tarehe 12 Julai 2024.”

“Kanuni hizi zinamtaka Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kufanya uteuzi wa wagombea leo tarehe 8 Novemba, 2024, kuanzia saa mbili kamili asubuhi hadi saa kumi kamili jioni. Mara baada ya uteuzi kukamilika, majina ya wagombea wenye sifa na wale ambao hawajakidhi vigezo vya kugombea yatabandikwa hadharani ili umma uweze kuyapata wakiwemo wagombea wenyewe”.Aliongeza Mhe. Mchengerwa.

Ameendelea kueleza kuwa kwa mujibu wa Kanuni hizo mtu yeyote aliyeomba kuteuliwa kuwa mgombea au mgombea ambaye hakuridhika na uamuzi uliotolewa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, anaweza kuwasilisha pingamizi na kumuomba Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kupitia upya uamuzi uliofanyika ili amteue kuwa mgombea au atengue uteuzi anaoupinga.

Amesema kwamba pingamizi hili linaweza kuwasilishwa kwa maandishi ndani ya siku mbili tangu uamuzi au uteuzi ulipofanyika. Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atalishughulikia pingamizi hilo na kutoa uamuzi ndani ya siku mbili tangu alipolipokea.

“Hivyo, kwa mujibu ya kanuni hizi, kuanzia leo tarehe 8 na kesho tarehe 9 Novemba 2024, kwa mgombea yeyote ambaye hatoridhika na uamuzi wa Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi kuhusu uteuzi, anapaswa kutumia nafasi ya siku hizi mbili ili malalamiko yake yaweze kufanyiwa kazi kwa mujibu wa Kanuni’.Alisisitiza

Amesema kwamba Uchaguzi huu unaongozwa na kanuni hivyo wagombea wasioridhika wanapaswa kuweka pingamizi na sio kuzungumza mitandaoni kwa sababu endapo utazungumza mitandaoni na hujawaweka pingamizi atakuwa hujafuata Kanuni hivyo wote wenye changamoto wahakikishe wanaweka pingamizi kwenye maeneo yao.

Aliongeza kuwa iwapo mgombea hatoridhika na uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi juu ya pingamizi lake, ana haki ya kukata rufaa kwenye Kamati ya Rufaa ndani ya muda usiozidi siku nne baada ya uamuzi huo kutolewa. Maana yake Rufaa ziwasilishwe kuanzia tarehe 10 hadi 13 Novemba, 2024 kwa kamati ya Rufaa.

Aidha, amesema ni muhimu wagombea wote wafuate taratibu za kisheria na kuhakikisha malalamiko yao yanawasilishwa katika sehemu sahihi ndani ya muda uliowekwa kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi. Hii itasaidia kuimarisha utulivu na uwazi katika mchakato mzima wa uchaguzi.

Mchengerwa ni adui wa Taifa no 1, yakitokea yakutokea ajiandae kutangulia ICC
 
Hakuna cha kukata Rufaa , wagombea wote warudishwe bila masharti watu wachague viongozi wanaowataka full sto p , upumbavu huu
 
Kuna kitu kinaitwa "hubris". Wanasema kuwa ukate rufaa kwa huyo huyo aliyekukata! Na kama nako hautaridhika ukate rufaa kwa kamati iliyojaa wenzake. Kama kweli wangekuwa wanataka uchaguzi wa haki wangekemea matendo ya watu kujificha ili wasipokee fomu, watu kuweka vituo bandia vya uandikishaji, watu kuandikisha watoto n.k. Na matendo hayo tumeyajua kupitia social media na sio ofisi yake. Wanachotaka sasa kufanya ni kujaribu kujikosha kwa kurudisha wagombea wachache ili waonekane kama wapenda haki.

Matamshi yake ni ushahidi wa kutosha kuwa mfumo mzima wa uchaguzi haufai. Wasitufanye wajinga.

Amandla...
 

Attachments

  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
ASKOFU ATATIZWA SABABU ZA KUTEULIWA WAGOMBEA WA CCM NA KUENGULIWA KWA WAGOMBEA WA CHADEMA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.

Ndugu Watanzania!
Tumeletewa malalamiko yafuatayo kuhusu uteuzi wa majina ya Wagombea wa Uenyekiti wa Serikali ya Mtaa katika Mtaa wa Stop Over (Kimara), Kata ya Saranga katika Manisapaa ya Ubungo yaliyobandikwa muda mfupi uliopita:

1. Alex Fabian Msuka aliomba kuwa Mgombea kupitia CCM na ameteuliwa kuwa Mgombea. Kwa mujibu wa Fomu yake, aliandika kuwa ni MFANYABIASHARA.

2. Godfrey Benedictor Missana aliomba kuwa Mgombea kupitia CHADEMA lakini hajateuliwa. Kwa mujibu wa Fomu yake, aliandika kuwa ni MJASILIAMALI

Sababu iliyotolewa ya kutokuteuliwa kwake ni kuwa ndugu Missana hajaainisha shughuli maalum anazozifanya kutokana na Kanuni ya 15 (D). Ushahidi wa hayo umeainishwa katika fomu za wahusika, Missana na Msuka.

Je, kuna tofauti gani kati ya mfanyabiashara na mjasiliamali? Je, mtu kuandika mfanyabiashara bila ya kuainisha aina ya biashara anayofanya; na mtu kuandika mjasiliamali bila ya kuainisha aina ya ujasiliamali anaoufanya kuna tofauti?

Je, unafikiri ya kuwa Missana wa CHADEMA ameenguliwa kihalali na Msuka wa CCM ameteuliwa kihalali? Je, unafikiri kuwa haya ni mazingira yanayoashiria Uchaguzi huru na wa haki? Je, kama katika mambo yaliyo wazi kama hili yanazua tafsiri tata na kutokea kutokutenda haki, inakuwaje katika zoezi la kuhesabu kura ambalo litakugubikwa na usiri mkubwa?

Kufuatia hili, sisi Askofu Mwamakula tunatoa wito kwa mamlaka ya juu kuangazia suala hili la Mtaa wa Stop Over. Kama ikionekana kuwa Missana ameenguliwa kwa hila arudishwe na hao waliomuengua waondolewe katika zoezi la kusimamia Uchaguzi huu katika Mtaa wa Stop Over. Na kuwa hii ifanyike pia mahali pengine kote ambako itaonekana hujuma kama hii pia imefanywa kwa makusudi.

Sisi ni sauti ya dhamiri katika Uchaguzi huu na hivyo tunao wajibu tuliopewa na dhamiri kuu ili kihakikisha kuwa sauti ya haki haikauki katika taifa letu na dhamiri iliyo kuu hainyauki kabisa!
Je, kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 8 Novemba 2024; saa 8:00 alasiri
Ni figisu tu kiongozi,Nilikuwa siamini ila Leo nimejionea live bila chenga!!!
Hapa Manzese kata ya midizini mgombea CCM kateuliwa ila wa vyama vingine hawajateuliwa eti wamekosa vigezo kwa kutoainisha shughuli zao ila ukingalia form zao wamejaza ni "wajasiria mali" wote kampuni ila Wa CCM aliyejaza "Mjasiriamali wa kuuza viatu" kapitishwa.
Wengine wamekosa vigezo kwa kuandika anagombea Uenyekiti badala ya "uenyekiti wa mtaa"
Hata upande wa nafasi za wajumbe wapinzani wameenguliwa kwa sababu hizo hizo.
 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa waweke pingamizi ndani ya siku 2 kuanzia leo tarehe 08 - 09/11/2024.

Amesema hayo leo tarehe 8 .11.2024 wakati akiongea na vyombo vya habari kuhusu uteuzi wa wagombea katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma

“Kama mnavyojua, leo ni siku muhimu ya uteuzi wa wagombea kwaajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mujibu wa Kanuni ya 18 ya Tangazo la Serikali Na. 571, 573, 574, pamoja na Kanuni ya 17 ya Tangazo la Serikali Na. 572 yote ya tarehe 12 Julai 2024.”

“Kanuni hizi zinamtaka Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kufanya uteuzi wa wagombea leo tarehe 8 Novemba, 2024, kuanzia saa mbili kamili asubuhi hadi saa kumi kamili jioni. Mara baada ya uteuzi kukamilika, majina ya wagombea wenye sifa na wale ambao hawajakidhi vigezo vya kugombea yatabandikwa hadharani ili umma uweze kuyapata wakiwemo wagombea wenyewe”.Aliongeza Mhe. Mchengerwa.

Ameendelea kueleza kuwa kwa mujibu wa Kanuni hizo mtu yeyote aliyeomba kuteuliwa kuwa mgombea au mgombea ambaye hakuridhika na uamuzi uliotolewa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, anaweza kuwasilisha pingamizi na kumuomba Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kupitia upya uamuzi uliofanyika ili amteue kuwa mgombea au atengue uteuzi anaoupinga.

Amesema kwamba pingamizi hili linaweza kuwasilishwa kwa maandishi ndani ya siku mbili tangu uamuzi au uteuzi ulipofanyika. Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atalishughulikia pingamizi hilo na kutoa uamuzi ndani ya siku mbili tangu alipolipokea.

“Hivyo, kwa mujibu ya kanuni hizi, kuanzia leo tarehe 8 na kesho tarehe 9 Novemba 2024, kwa mgombea yeyote ambaye hatoridhika na uamuzi wa Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi kuhusu uteuzi, anapaswa kutumia nafasi ya siku hizi mbili ili malalamiko yake yaweze kufanyiwa kazi kwa mujibu wa Kanuni’.Alisisitiza

Amesema kwamba Uchaguzi huu unaongozwa na kanuni hivyo wagombea wasioridhika wanapaswa kuweka pingamizi na sio kuzungumza mitandaoni kwa sababu endapo utazungumza mitandaoni na hujawaweka pingamizi atakuwa hujafuata Kanuni hivyo wote wenye changamoto wahakikishe wanaweka pingamizi kwenye maeneo yao.

Aliongeza kuwa iwapo mgombea hatoridhika na uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi juu ya pingamizi lake, ana haki ya kukata rufaa kwenye Kamati ya Rufaa ndani ya muda usiozidi siku nne baada ya uamuzi huo kutolewa. Maana yake Rufaa ziwasilishwe kuanzia tarehe 10 hadi 13 Novemba, 2024 kwa kamati ya Rufaa.

Aidha, amesema ni muhimu wagombea wote wafuate taratibu za kisheria na kuhakikisha malalamiko yao yanawasilishwa katika sehemu sahihi ndani ya muda uliowekwa kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi. Hii itasaidia kuimarisha utulivu na uwazi katika mchakato mzima wa uchaguzi.

KAZI YA MAMA MKWE ULIO AGIZWA UMESHA ITIMIZA
 
Back
Top Bottom