Mchengerwa: Wanafunzi wote wa kutwa wapate chakula shuleni

Mchengerwa: Wanafunzi wote wa kutwa wapate chakula shuleni

Moja ya malengo ya shule za Kata ilikuwa ni kuwafanya wanafunzi kuwa jirani na kaya zao ili kutembea umbali mfupi ili kuwahi kwenda na kurudi shule/nyumbani, usalama na pia kupata chakula wakati wa mchana. Je, hili bado ni lengo la kuwa na shule za Kata?
 
Back
Top Bottom