Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mzaramo huyo au MsukumaUzuri wa hao wanarangu amkatie milioni moja au mbili yaani ataizungusha kwenye biashara fasta utakuta baada ya muda hakuna kusumbuana mambo madogo dogo, wako vizuri kwenye biashara... Kuna wale wengine yaani unamuachia laki tano siku mbili anakuambia baby sina ela ya kulaaa
Hao hao mkuu...Mzaramo huyo au Msukuma
Good AdviceEvery Gambler knows Secret to Surviving is knowing what to keep and knowing what to throw, cause every hand is a winner and Evey hand is a loser, the best you can hope is to "die" in your sleep/dream!
She is just a Gambler Brother
Maisha sasa yamebadirika wapi bro???😅Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.
Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake. Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
Chombo KWA hewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Trakondo[emoji39]View attachment 1986208
Unavunja miiko ya uanaume, toka lini mchepuko unaolewa tena wa Marangu?Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.
Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake. Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
Mkuu kama mumeanza kama mchepuko basi tarajia magumu takapo ingia kwenye ndoa.Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.
Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake. Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
Dada anajua kula na kipofu ,yaani nimjanja vibaya mno,umeshakuwa mateka wakeMaisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.
Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake. Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
Huwa simwamini mchepuko hata km nampenda. Wapo ki maslahi
Kenny RogersEvery Gambler knows Secret to Surviving is knowing what to keep and knowing what to throw, cause every hand is a winner and Evey hand is a loser, the best you can hope is to "die" in your sleep/dream!
She is just a Gambler Brother