Mchepuko alivyobadilisha maisha yangu

Mchepuko alivyobadilisha maisha yangu

Uzuri wa hao wanarangu amkatie milioni moja au mbili yaani ataizungusha kwenye biashara fasta utakuta baada ya muda hakuna kusumbuana mambo madogo dogo, wako vizuri kwenye biashara... Kuna wale wengine yaani unamuachia laki tano siku mbili anakuambia baby sina ela ya kulaaa
Mzaramo huyo au Msukuma
 
Umejiuliza kwann kazalishwa then kaachwa na ni bonge la dem? Tena anakuambia umuheshimu mkeo means kuna mengi hapo nyuma.
Hataki umbane sana.

Mchepuko unagonga unaacha unarudi siku umepatwa na kipururu.
 
Every Gambler knows Secret to Surviving is knowing what to keep and knowing what to throw, cause every hand is a winner and Evey hand is a loser, the best you can hope is to "die" in your sleep/dream!

She is just a Gambler Brother
Good Advice
 
Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.

Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake. Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
Maisha sasa yamebadirika wapi bro???😅
 
[emoji23] [emoji23] bwege kweli samahani kwa hilo, kwahiyo ukitegemea akwambie mzingue mkeo hahhaa ana akili hujawahi kusikia msemo jifunze kula na kipofu sasa wewe ndo kipofu anajua jinsi ya kula na wewe na kwakuwa kipofu huoni ila utapigwa tukio hilo utajua ujui.
 
Haya ila baada ya miezi sita naomba mrejesho,wenzio walishindwa wewe utaweza?
 
Wakati fulani japo sio nyakati zote michepuko husaidia. Miaka ya nyuma nilikuwa na mchepuko katika mkoa niliokuwa ninaishi. Baadae alihama na tukapotezana km miaka 4. Wakati fulani nilifukuzwa kazi alipata taarifa na kunipigia simu. Na akanihaidi kunitafutia kazi mkoa aliopo baada ya kweli nilifanya interview na nikaanza kazi. Tunaishi kwa kuheshimiana sana na hata watu wanajua ni ndugu. Huwatunapasha kiporo Mara moja moja sana anasema hunionea huruma kwa kuwa wife yuko mbali
 
Inaonekana ndo mara yako ya kwanza kuwa na mchepuko tena baada ya kushika vijihela.
 
Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.

Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake. Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
Unavunja miiko ya uanaume, toka lini mchepuko unaolewa tena wa Marangu?
 
Mie ni mchaga, na nnakuhakikishia kwa hao dada zangu wa Marangu umeyakanyaga, ni swala la muda tu ni kama kuoa mmachame, utajua hujui we ngoja akujaze kwenye vifungu vya sheria ndio utaona her true colour.
 
Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.

Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake. Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
Mkuu kama mumeanza kama mchepuko basi tarajia magumu takapo ingia kwenye ndoa.

Kuna mdau hapo juu kasema .. Mchepuko haolewi.
 
Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.

Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake. Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
Dada anajua kula na kipofu ,yaani nimjanja vibaya mno,umeshakuwa mateka wake
 
Nadhani kwa mtazamo wangu mtu Akiamua kuwa na mchepuko Asitafute mwanamke ambaye Hajaolewa au Single mother, Ahakikishe huo mchepuko wake Umeolewa yaani mchepuko awe ni Mke wa mtu na wewe uwe Mme wa mtu.. Haya mahusiano huwa yanadumu Sana na Hayana gharama Kubwa..
 
Huwa simwamini mchepuko hata km nampenda. Wapo ki maslahi


Kwa baadhi walio wengi ni kweli wako hivyo lakini wapo wachache ambao wanasukumwa na penzi la dhati na siyo maslahi.

Tena Mwanaume akibahatika hata fedha atapewa n.k lakini wa hivyo ni wachache na kuwavumbua mpaka Neema maalum halafu mtoke naye mbali pole pole kwa subira!
 
Every Gambler knows Secret to Surviving is knowing what to keep and knowing what to throw, cause every hand is a winner and Evey hand is a loser, the best you can hope is to "die" in your sleep/dream!

She is just a Gambler Brother
Kenny Rogers
 
Back
Top Bottom