Mchepuko Nimeunulia gari aina ya VX8 baada ya kulichoka kasema hakuna nilichomfanyia

Mchepuko Nimeunulia gari aina ya VX8 baada ya kulichoka kasema hakuna nilichomfanyia

Attachments

  • SGN_05_04_2024_1714832545958.png
    SGN_05_04_2024_1714832545958.png
    213.5 KB · Views: 2

Hongera sana tajiri

Fanya buku la kula njaa kali
Hizo dharau sasa bill gate unamuombaje😪😪 kijana tafathar fika kituo cha polis kilicho jiran na maeneo yenu kabla sijatuma CIA wangu wakutafute mana umeonesha dharau kuubw san
 
Shida mnawaendekeza sana wanawake ndio tatizo.
 
Mlipie tiketi Musk akipeleka watu mars kutalii muende ila msirudi.
 
Back
Top Bottom