Mchepuko Nimeunulia gari aina ya VX8 baada ya kulichoka kasema hakuna nilichomfanyia

Mchepuko Nimeunulia gari aina ya VX8 baada ya kulichoka kasema hakuna nilichomfanyia

Mama ako kumjengea ghorofa ni utamuumiza kupanda na kushuka ngazi
Kwa Nini usimnunulie boti Moja Kali awe anatembea TU baharini
Ataliwa na papa bora afanye zoez
 
Mie sijaumia popote nilikuwa nakueleza ukweli uliopo maana unapogeneralize wakati hicho kitu hakipo unatupa mashaka mie Niko mormal kabisa 🤣🤣🤣
sasa mbona unajitetea kwa nguvu ivo🤣🙌🏾
 
Yaani JF ni mimi tu ndo napanda gari za Chang'ombe mpaka paradise/dizo khaaa!

Kila mtu ana gari, nyumba na maisha mazuri aroooo
Njoo nikupe dili LA kunifungulia mlango was gari yangu ulipwe japo tu m70 kwa mwez mwanaum unakuwaje maskin buanaa hiyo ni dhambi
 

Umeona uje field jf sio 🤣🤣🤣
Wazee wa kufufua ma grave
 
Back
Top Bottom