Mchepuko Nimeunulia gari aina ya VX8 baada ya kulichoka kasema hakuna nilichomfanyia

Mchepuko Nimeunulia gari aina ya VX8 baada ya kulichoka kasema hakuna nilichomfanyia

Nilishajiapisha sitokuja tena kutumia nguvu nyingi kumfurahisha mwanamke.

Kumbe unavyozidi kujitutumua ndivyo hadhi yako inashuka kwake na kukuona siyo kitu.

Wanawake hawapendi hukurumiwa.

Hata kwenye mgegedo wanawake wanataka mwanaume ufanye rafu rafu tu.

Ngachoka!
Nimejifunza kitu kikubwa sana kupitia comment yako
 
Bora ningemuongezea mama yangu ghorofa nyingine masaki kuliko huyu

Mwanamke asie na utu na shukrani
Ulikuwa ukihonga au?

Nadhani umefundishwa kuwa bad boy siyo mchezo mchezo mwanamke anatamani mashindano daile, akitoa hiki we toa kile , ungemwambia tu nilidhani inafeni ndiyo maana nilikuhonga hivyo kumbe uko hovyo hivyo nilijitahidi mno walau tu usijisikie vibaya ila kibuyu chako Huwa kinanuka uvundo
 
yani wanaume wa humu jf wote matajiri.
Umeona wapi tumejinasibu tu matajiri wote

Acha kufikirika

Si ndiyo nyie mnasema wanaume tumezidi kuwa bahiri maana nyuzi za kuwakandia kuwa omba omba ni nyingi.

Uliwahi wapi kumuona tajiri anakandia kuombwa fedha na mwanamke
 
Umeona wapi tumejinasibu tu matajiri wote

Acha kufikirika

Si ndiyo nyie mnasema wanaume tumezidi kuwa bahiri maana nyuzi za kuwakandia kuwa omba omba ni nyingi.

Uliwahi wapi kumuona tajiri anakandia kuombwa fedha na mwanamke
pole bwana ,we kama hauhusiki ungekaa kimya ila kwa povu ili😆😆🙌🏾🙌🏾
 
Ulikuwa ukihonga au?

Nadhani umefundishwa kuwa bad boy siyo mchezo mchezo mwanamke anatamani mashindano daile, akitoa hiki we toa kile , ungemwambia tu nilidhani inafeni ndiyo maana nilikuhonga hivyo kumbe uko hovyo hivyo nilijitahidi mno walau tu usijisikie vibaya ila kibuyu chako Huwa kinanuka uvundo
Haha ugomvi wa nyuklia huo
 
Back
Top Bottom