Mchepuko Nimeunulia gari aina ya VX8 baada ya kulichoka kasema hakuna nilichomfanyia

Mchepuko Nimeunulia gari aina ya VX8 baada ya kulichoka kasema hakuna nilichomfanyia

Kama ni ya kweli..

Love yourself than anything else na usiwekeze nguvu na furaha yako kwa mtu......
jipe furaha mwenyewe jipende wewe kuliko yeyote kuhusu MWANAMKE huyo assume hukumpa chochote piga Chini kuanza upya sio ujinga sawa... Mimi nikimpaga MTU kitu huwa nakifuta akilini sito kiwaza Wala hata ukini kosea usitegemee ntaki mention Wala kukunyang'anya

Kwa Sasa Ni hayo TU
A🙏🙏
 

Umeona uje field jf sio 🤣🤣🤣
 

Umeona uje field jf sio 🤣🤣🤣
Watu mnakumbukumbu Leo kazi ninayo vx8 imeniponza
 
Mtoe kwenye toyota
Mpe tena hata li Audi Q7 huko. Hakika atakurudia na shukurani.
Nilishajiapisha sitokuja tena kutumia nguvu nyingi kumfurahisha mwanamke.

Kumbe unavyozidi kujitutumua ndivyo hadhi yako inashuka kwake na kukuona siyo kitu.

Wanawake hawapendi hukurumiwa.

Hata kwenye mgegedo wanawake wanataka mwanaume ufanye rafu rafu tu.

Ngachoka!
 
Back
Top Bottom