Mmezidi mjishikilie jamani wake zenu tunawapenda ila nyie boxer mkononi km asha ngedere ๐๐Tamaa ndio zinatuhangaisha .Hakuna mkamilifu.
Kwa nini umefanya ubadhirifu wa machozi hivyo?Kuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani.
Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam.
Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga.
Marehemu alikuwa ameoa na ana mtoto,
Katikati ya majonzi msibani akaibuka huyu nusu mtu nini sijui na kudai yeye eti alikuwa mchepuko wa mtumishi amezaa nae na anataka mgawo wa mali au mtoto atambulike rasmi
Mchepuko umekuja na kadi ya clinic ,mawasiliano ya watsapp na picha walizopiga na marehemu kama ushahidi
yaani disco luliingia mmasai.
kwa nini hakusubiri msiba ukaisha akaenda kistaarabu kujitambulisha.
nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo.na ninavyo heshimika kanisani
Kaongea mtaalam๐คฃKuleni wanawake wenye akili
Kapeace hauachi jamani? ๐ค ๐๐๐Na huyo ndo msabato sasa hawa kina karunguyeye wasiojua hata mlango wa kanisa itakuwaje? Demu lenyewe baya pua zimemsambaa uso mzima
I want problems always, I don't want peace km jina langu, ๐คฃ๐คฃ๐คฃKapeace hauachi jamani? ๐ค ๐๐๐
๐๐๐๐๐nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo.na ninavyo heshimika kanisani
Mtu mzuri yukoje?Na huyo ndo msabato sasa hawa kina karunguyeye wasiojua hata mlango wa kanisa itakuwaje? Demu lenyewe baya pua zimemsambaa uso mzima
Kama mke halali wa marehemu ZabMtu mzuri yukoje?
Yes mtaalam wa wenye akili๐คฃ๐คฃKaongea mtaalam๐คฃ
Kwani ni makonde malaba?Na huyo ndo msabato sasa hawa kina karunguyeye wasiojua hata mlango wa kanisa itakuwaje? Demu lenyewe baya pua zimemsambaa uso mzima
Eti yanasemwa maneno mengine yanayo mkwaza marehemu hata kama amefariki ๐Sema Tanzania tuna waandishi na watangazaji makanjanja sana kujisema Mzee Mkapa.
Just imagine mtangazaji anaongea lugha ya ajabu kama โMarehemu ambaye ameweza kufariki duniaโ sasa sijui ni mbwembwe wanaongeza hadi kukuta wamekosea?
๐๐๐Kwani ni makonde malaba?
Aisee tulio na watoto wa Siri tujipange.Kuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani.
Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam.
Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga.
Marehemu alikuwa ameoa na ana mtoto,
Katikati ya majonzi msibani akaibuka huyu nusu mtu nini sijui na kudai yeye eti alikuwa mchepuko wa mtumishi amezaa nae na anataka mgawo wa mali au mtoto atambulike rasmi
Mchepuko umekuja na kadi ya clinic ,mawasiliano ya watsapp na picha walizopiga na marehemu kama ushahidi
yaani disco luliingia mmasai.
kwa nini hakusubiri msiba ukaisha akaenda kistaarabu kujitambulisha.
nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo.na ninavyo heshimika kanisani